To you my love "Tumbili wa mjini"

wazee wenyewe akili za vijana 🙂 shindwaaaaa
Hahaha.............maombi yenye nguvu ni yale yanayofanywa na Babu na Mjukuu wake 🤗

Hebu karibia ili tuseme Kwa pamoja Shindwaa😜
 
Hatarii kabisa kabisa 🤣 😂 😂 😅 😂
 
Hahaha.............maombi yenye kuvu ni yale yanayofanywa na Babu na Mjukuu wake 🤗

Hebu karibia ili tuseme Kwa pamoja Shindwaa😜
😂😂😂🤣🤣Babu umedhamiria wewe
 
For your love my dear Babz, I will chew the Sun and stop the oceans. I am ready to even set myself on fire to see to it that your lies, sorry, truth are actualised.
 
Kwema "mzee" mwenzangu? Mpoje huko? Mwaka mpya unaendeleaje? Hebu mwaka huu na ukawe wa amani na mibaraka tele kwako pamoja na wapendwa wako 🙏🏿🙏🏿🙏🏿
Huku kwema kabisa Mzee mwenzangu.

Amiiin nashukuru sana 🙏🙏 na kwako pia twenti twenti faivu ukawe mwaka wenye kila la kheri na baraka tele. 🙏
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…