Cassnzoba
JF-Expert Member
- Feb 26, 2022
- 3,661
- 6,913
Acha umbea BhanaEeh nakufata pm unipe visa mkuuu duuh!
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Acha umbea BhanaEeh nakufata pm unipe visa mkuuu duuh!
Sijawahi mkuu 😅 😅
😅😅😅nyie wazee mnazeeka vibaya sanaHuyu ni mzee wa mafuta🤣
Ndo usubiri sasa jamaa atupe madiniSijawahi mkuu 😅 😅
Aaah ngoja tusubiri tumbili mjanjaNdo usubiri sasa jamaa atupe madini
Kashenzii sana kakosa watoto wa diploma au degree 😂😂Dogo anazingua sana
Anfikiri huku ni Online dating sites. 😆
Weeee mbona hukusema nije nikupokee na koti zito zito,,nkupashie na chai fulani upashe tumbo joto Jamaniiii babuMarahaba Mjukuu, ndiyo nimeingia huku nyanda za juu kusini kukagua mashamba yangu
Hili baridi ninalokutana nalo, sio la Nchi hii 🙌
Nimemkumbuka ghafla Bibi yenu 🤗
Mke mwenzio huyo 😹😹😹Shem vipi
Sasa unaogopa nini si umwambie km bwana wenu mmoja, akuite mke mwenzie 😹😹😹Mimi sio shemeji yako mkali
Hahaha...............hujanikaribisha tu ningefika.Weeee mbona hukusema nije nikupokee na koti zito zito,,nkupashie na chai fulani upashe tumbo joto Jamaniiii babu
Huyu ameharibika zaidi, mafuta na asali hazikauki kwake😆😅😅😅nyie wazee mnazeeka vibaya sana
Mmmh naona maarifa yanzidi kukua hadi asali tena?Huyu ameharibika zaidi, mafuta na asali hazikauki kwake😆
Zana za watu hizoMmmh naona maarifa yanzidi kukua hadi asali tena?
yani upo ramadhani hapo,, hukusema kama unakuja,,ila kwenye kahawa kama umenipiga iv😆Hahaha...............hujanikaribisha tu ningefika.
Kwasasa napata Chai Zion, njia ya kwenda Hospitali ya Mkoa
Pana Kahawa safi sana Kwa Sisi Wazee 🤗
We njoo uonje Kahawa yao, ni nzuri japo inatengenezwa Kwa oda 🤗yani upo ramadhani hapo,, hukusema kama unakuja,,ila kwenye kahawa kama umenipiga iv😆
Npo getini apa enheee nielekee upande ganWe njoo uonje Kahawa yao, ni nzuri japo inatengenezwa Kwa oda 🤗
Ukiingia tu, upande wa Kulia utanionaNpo getini apa enheee nielekee upande gan