Tumwesige senior
JF-Expert Member
- Jan 28, 2013
- 3,506
- 6,305
Hii mbinu tunaijua sana tu,kiingereza kireeeefu kumbe anajitekenya mwenyewe
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nini kimekufanya umzimikie!!!Shem nipo hoi kwa huyo mkaka najua mtaona ajabu mwanamke kumtaka mwanaume ila sijiwezi mimi
Kama mtoa mada ni mwanamke basi atakuwa kavunja record ni ngumu sana kwq mwanamke kumtongoza mwanaume ngumu sana asee!Na haya yote umeyatoa kichwani mwako!!! Hongera kwa maana nilidhani ni wanaume tu ndio wenye uwezo wa kupanga maneno ili kukamilisha mada zenye mlengo huu, kumbe sikuwa sahihi bhana.
Ni hatarii babu hatarii kama mtoa mada ni ke kweliIs this normal? 😳😳😳
Kak huyu amelewa ...mi nakuambia kesho asubuhi atajilaumu snaa😁😁😁Kama mtoa mada ni mwanamke basi atakuwa kavunja record ni ngumu sana kwq mwanamke kumtongoza mwanaume ngumu sana asee!
Mkuu hii inaitwa sanaa ya Maigizo, Sasahivi tunamsubiria Staring Tumbili wa mjini aingie kazini.Kama mtoa mada ni mwanamke basi atakuwa kavunja record ni ngumu sana kwq mwanamke kumtongoza mwanaume ngumu sana asee!
Yeah na ukiangalia huo mpangilio wa maneno jinsi ulivyonyooka si kawaida, but kwakua labda yupo nyuma ya keyboard so lolote lawezekana 😅😅Kama mtoa mada ni mwanamke basi atakuwa kavunja record ni ngumu sana kwq mwanamke kumtongoza mwanaume ngumu sana asee!
Yeah na ukiangalia huo mpangilio wa maneno jinsi ulivyonyooka si kawaida, but kwakua labda yupo nyuma ya keyboard so lolote lawezekana 😅😅
HatariMaybw he is gay 😂😂
View attachment 3217004
Duuh hii kaliMada zake zinanisismua sana inafikia hatua nikisikia jina lake kwenye nanlii panaloa hatari. 🙂🙂