To you my love

Sasa mbona mambo yenu ya nje ya jf mliyaleta jf? Wambea tulifaidiii.
 
Hapana, maana mdogo wangu @baily5 alinitambulisha kwa wifi yangu. Hivyo nasubiri taarifa rasmi kutoka kwake.
Mkuu, kutambulishwa ni desturi yetu waTanzania kama sio Africa......
Lakini panapo tokea tafarani, kila mmoja hutafuta njia yake ya kupita na kisha walio tambulishwa wanaanza kuona na kukabiliana na mabadiliko.
Humu sio mbinguni ama peponi kwamba watu hawaachani, na pia bado wanapo tokea wawili wakaachana.... Maisha lazima yaendeleee tu

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…