Transcend
JF-Expert Member
- Jan 2, 2015
- 20,548
- 63,038
Ndio tarehe hii?
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Ndio tarehe hii?
Kwema lakini?
Sjakuita mm beb jamanndo nini?? halafu usibadilishe mada hapa jakuita ndo nini beb
Duuuh! Ama kweli mamba akizidiwa na maji mtoni huja nchi kavu..[emoji41]Ahahaha ndio uone memshika pabaya yuko mikono juu saa hii
Ahahaha jamanDuuuh! Ama kweli mamba akizidiwa na maji mtoni huja nchi kavu..[emoji41]
Kaka yako archduke atakuwa alikerwa labda..[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji119] [emoji119] hadi tarehe unaikumbuka
Nikumbushe kule afu unitag basi [emoji3][emoji3]Takukumbusha nyumbani kf
wanajijua...cha msingi ni kujua tu kuwa siyo tabia nzuriNan huyo
Kumbe ni shunie na sio mimi [emoji41][emoji41].shemela acha tu shunii alituweza wallah
Hahaha..[emoji3][emoji3]Hii tabia ya kufunga Pm,Mungu tu ndo anaejua tabu tunazopata wenzenu
Wamesikia.wanajijua...cha msingi ni kujua tu kuwa siyo tabia nzuri