To you my love

To you my love

Hahahaha kaka nilimwambia natoka jf kidogo nilikua mechoka choka nikasema nalala na akanambia ulale uamke saa kumi sasa hiyo saa kum me ndio usingizi mzito hasa, meamka hii jioni nakuta msgs zake lakini hajanambia kama kaandika huu uzi

Naingia nakuta notification nikajib kawaida tu had naja soma vizur kumbe nakuta uzi unanihusu,

Kaka, upendo wake kwangu ni zawadi ambayo nitaitunza kwa hali namali, furaha yangu ni yake huzuni yake ni yetu sote kaka, usione nakupa kesi mwenyewe mefika mkufa meoza kabisaaa haya n zaidi ya mahaba, napendwa mm kaka
Na huku pia halikadhalika tu wazima tunamshukuru Mungu Muweza

Nimeuona huu uzi toka mwanzo ulipoletwa jukwaani nikawa naangaza angaza tu utatokezea kwa wapi sis, yaan mpaka nikatoka kidogo narudi tena naona umenikumbuka

Haya uzi huo tena shemeji kauleta katika masiku haya ya sikukuu,natumai itakua zawadi tosha kwako
 
Hahahaha kaka nilimwambia natoka jf kidogo nilikua mechoka choka nikasema nalala na akanambia ulale uamke saa kumi sasa hiyo saa kum me ndio usingizi mzito hasa, meamka hii jioni nakuta msgs zake lakini hajanambia kama kaandika huu uzi

Naingia nakuta notification nikajib kawaida tu had naja soma vizur kumbe nakuta uzi unanihusu,

Kaka, upendo wake kwangu ni zawadi ambayo nitaitunza kwa hali namali, furaha yangu ni yake huzuni yake ni yetu sote kaka, usione nakupa kesi mwenyewe mefika mkufa meoza kabisaaa haya n zaidi ya mahaba, napendwa mm kaka
Maneno mazito kabisa hayo, yaliyojaa mahaba na mapenzi ya kweli sister

Iliyobakia kwetu ni kuwatakia kila la kheri, baraka na fanaka....mdumu katika mapenzi, furaha na masikizano wakati wote dada

Kwa hiyo ilikua ni surprise moja matata sana! Hongera zake shemeji
 
Na huku pia halikadhalika tu wazima tunamshukuru Mungu Muweza

Nimeuona huu uzi toka mwanzo ulipoletwa jukwaani nikawa naangaza angaza tu utatokezea kwa wapi sis, yaan mpaka nikatoka kidogo narudi tena naona umenikumbuka

Haya uzi huo tena shemeji kauleta katika masiku haya ya sikukuu,natumai itakua zawadi tosha kwako
heshima yako bwana shemeji
 
Alichonifanyia sasa, nilitoka huku mda nikawa nafanya nambo yangu nje ya jf nikasema mda umeenda heb nishike sim kha hata kunambia mefanya hiki na hiki hajasema mekuja kuta notification halaf sikusoma thread yenyewe nikajibu nikatoka mara naingia nakuta tena nikasema no ngoja nisome ndio najua bae leo kaamua kunifungukia jaman kashindwa kujizuia mwanaume wangu ha ha ha he is really in love and i am in love
Kafanya jambo jema sana, maana tunaishi kwa kutegemeana.

Mimi kama mpenzi mtazamaji nategemea ninyi mkiwepo humu na mimi nipate haki yangu ya utazamaji[emoji23] [emoji23] [emoji23] [emoji23]
 
Wallah,hii ni best surprise i have ever had kaka angu nampenda m
Maneno mazito kabisa hayo, yaliyojaa mahaba na mapenzi ya kweli sister

Iliyobakia kwetu ni kuwatakia kila la kheri, baraka na fanaka....mdumu katika mapenzi, furaha na masikizano wakati wote dada

Kwa hiyo ilikua ni surprise moja matata sana! Hongera zake shemeji
 
Back
Top Bottom