Sijui yuko wapi sasa huyu mwamba?
Kila alichokisema katika nyimbo zake hizo mbili ninakabiliana navyo kila siku na kuvishuhudia;
-masjala file lako litaonekana tu kama utawapoza kidogo wale ps, la sivyo utaona linatafutwa kila siku.
-mpe mwalimu pesa uone mtoto anavyofuatiliwa na matokeo yote utayapata
-ndugu gani atakuwa na stori na wewe siku hizi?!!! Yuko busy na maisha yake.
-mzazi gani anaangalia watoto siku hizi? Yuko busy na utafutaji wa pesa.
Hayo machache tu katika mengi maudhui yaliyomo mle.
Ile hip hop imeenda wapi?!!!!!
Kila alichokisema katika nyimbo zake hizo mbili ninakabiliana navyo kila siku na kuvishuhudia;
-masjala file lako litaonekana tu kama utawapoza kidogo wale ps, la sivyo utaona linatafutwa kila siku.
-mpe mwalimu pesa uone mtoto anavyofuatiliwa na matokeo yote utayapata
-ndugu gani atakuwa na stori na wewe siku hizi?!!! Yuko busy na maisha yake.
-mzazi gani anaangalia watoto siku hizi? Yuko busy na utafutaji wa pesa.
Hayo machache tu katika mengi maudhui yaliyomo mle.
Ile hip hop imeenda wapi?!!!!!