'Toa hela' na 'Niko bize' zinavyogusa maisha yangu! Ahsante sana Jaffarai

'Toa hela' na 'Niko bize' zinavyogusa maisha yangu! Ahsante sana Jaffarai

WhoWeBe

JF-Expert Member
Joined
Dec 18, 2022
Posts
2,299
Reaction score
4,282
Sijui yuko wapi sasa huyu mwamba?

Kila alichokisema katika nyimbo zake hizo mbili ninakabiliana navyo kila siku na kuvishuhudia;
-masjala file lako litaonekana tu kama utawapoza kidogo wale ps, la sivyo utaona linatafutwa kila siku.
-mpe mwalimu pesa uone mtoto anavyofuatiliwa na matokeo yote utayapata

-ndugu gani atakuwa na stori na wewe siku hizi?!!! Yuko busy na maisha yake.
-mzazi gani anaangalia watoto siku hizi? Yuko busy na utafutaji wa pesa.

Hayo machache tu katika mengi maudhui yaliyomo mle.
Ile hip hop imeenda wapi?!!!!!
 
Jaffarai ni moja kati ya wasanii wachache waliokua na uwezo wa kawaida wa kisanaa lakini yuko unique kwenye tungo zake
 
Unaomba msaada gari lako lisukumwe, wahuni wanakuambia "toa hela tufanye kazi"
 
Niko bizeeee... what a song it was. Penzi la mbunge mstaafu wa East Africa lilimpoteza
 
Beat kali .Popote ulipo au uendapo huko lazima utalisikia hili neno 'toa helaaa'.
 
Back
Top Bottom