Jana usiku muda wa saa nne kulikuwa na pambano ya ngumi kati ya Mwakinyo na Mfilipino.
Mimi niliushuhudia pambano hilo tangu mwanzo mpaka mwisho. Kwa maoni yangu bila kupepesa macho Mwakinyo alishindwa kwa pointi.
Ushindi aliopewa kwa maoni yangu ni ushindi wa upendeleo. Toa na wewe maoni yako na wewe.
Mimi niliushuhudia pambano hilo tangu mwanzo mpaka mwisho. Kwa maoni yangu bila kupepesa macho Mwakinyo alishindwa kwa pointi.
Ushindi aliopewa kwa maoni yangu ni ushindi wa upendeleo. Toa na wewe maoni yako na wewe.