TOA MAONI YAKO (PICHa)

TOA MAONI YAKO (PICHa)

jamaa wamejipanga mstari mrefu kweli......wenzetu wamejaliwa, viongozi wa kitaifa wote hao bado wanasema wanaonewa?
 
Do, ama kweli kuna mkakati. Sasa hivi nimepokea msg ikisema kuwa, Ndugu yangu, mchague Kikwete Mwislamu mwenzetu, ili 2015 tumchague pia mwislamu mwenzetu Lipumba! Mi nampango wa kuipeleka TCRA ili tujue anaye eneza udini.
 
wana jf aliekaa mbele hapo nani au ndie yule yule sheikh.anawajaza mavituuzi
 
waliokaa ktk kitambaa cheupe ni wakali wetu au vipi hapo hama kweli shetani yupo alikuwepo na ataendelea kuwepo mpaka mungu atakapo mchukua kwani hao wote wanaimani zao ila wanatiwa majaribuni kwa kutaka matumbo yao yashibe
CCOnquest-zambi zingekuwa tunazibeba kama mzigo wengine wangezitupa njiani na sijui kama watu wangeziokota kama pesa
 
Macho yangu yanaona "Jamhuri ya Watu wa Zanzibar" (Peoples Republic of Zanzibar)

Offcourse ukiondoa mkwere.
 
Hiyo line-up hata ukiambiwa useme nilikula EPA utakubali kusema tu!
 
Kuweka kwenye ilani zao mahakama ya kadhi, oic....kuongeza ulinzi wa majini, kununua uchawi kwa sheikh wao yahaya!?

Nafikiri uwezo wako wa kufikiria umefika mwisho, ni vyema kutoa maoni yako yenye mtizamo hasi na si kukashifu. Uuungwana ni jambo la kheri kuliko kuropoka. Hapa ni mahali pa kujadiliana na si kutoa kashfa
 
Hapa najaribu kufikiria wanajadiri nini?

8D6U3762.jpg

mikono ya kikwete ipo wapi jamani...? huyu jamaaa..!
 
sikutarajia JF inaweza kuwa degraded kiasi hicho cha kutaka kujadili jambo lisilo na kichwa wala miguu ila kuibua hisia za chuki na utengano. huo ni ujinga na upumbavu
 
Hapa najaribu kufikiria wanajadiri nini?

8D6U3762.jpg

karibu utaenda mwanamilembe kwani watu huwa wanamijadala kwenye skuu hiyo picha unafaham ilipotoka ilikuwa ni sherehe za skuu ya Iddi au unatafuta kufanya watu warumbane humu mambo haya mnayachukulia kama tasinifa lakini hamjui mazara huwa yanaanza hivhivi taratibu ka masihara baadae ni hasara kubwa,
 
sikutarajia JF inaweza kuwa degraded kiasi hicho cha kutaka kujadili jambo lisilo na kichwa wala miguu ila kuibua hisia za chuki na utengano. huo ni ujinga na upumbavu

Maneno ya kwenye nyekundu yaonesha wewe pia ni mtu wa namna gani!
 
NI viongozi wa serikali ya mapinduzi ya ZNZ ukiondoa JK! ZnZ asilimia zaidi ya 90% ni waislam na ulitaka wavae mavazi gani! au tuanze kujadili ya magwanda ya chadema upya! hahaha

P.S Wamependeza! sana tu.. (au mavazi ya kiislamu ishaonekana udini)??
 
sikutarajia JF inaweza kuwa degraded kiasi hicho cha kutaka kujadili jambo lisilo na kichwa wala miguu ila kuibua hisia za chuki na utengano. huo ni ujinga na upumbavu

Hii forum naona kama inakosa mwelekeo. What's so special with the photo?
 
Back
Top Bottom