joto la jiwe
JF-Expert Member
- Sep 4, 2017
- 26,117
- 46,617
Hahahaha, Hahahaha, hiyo ndio sababu pekee inayomfanya aendelee Kuwepo madarakani (Ukabila)Tafuta hizi redio stations Kameme, inooro gukena, na coro utasikia nyimbo za kumtetea "mutu yetu siyo mwisi" [emoji3][emoji3][emoji3]
Ala! Yani Hadi hizi stations zinasikika Tz???🤔🤔 Kweli Kenya ni kiongozi hapa Afrika...Hebu nitajie stations zenu tajika nje ya Tz Kama zipo😪😪😪Tafuta hizi redio stations Kameme, inooro gukena, na coro utasikia nyimbo za kumtetea "mutu yetu siyo mwisi" [emoji3][emoji3][emoji3]
Azam Nilifikiri ni unga kumbe ni station pia? Na ipo Kenya??Azam peke yake ni sawa na media house zote za Kenya + Failed state
Na nizikwe😥😥Wivu utakuua wewe nyang'au.
Kabla ya kutaja Saut Solo alikua ametoka kucheza na Harmonize wimbo wa (Magufuli)na kumshika mkono. Hao Sauti Sol hata kuwajua, hawajui vizuri. Mimi ndio kwanza ninawasikia toka kwa Magufuli. Please tell me more about Sauti Sol. Wamshukuru sana Magufuli kwa kuwafanyia" free marketing"Mbona hakunukuu wimbo wa Ngololoo, au tetema tetema? Eti Sauti ya solo, dah mzee ametisha. 😀
Na utazikwa kweli, unafikiri utani?Na nizikwe😥😥
Afu unifuate pia😂😂😂Na utazikwa kweli, unafikiri utani?
Bahati mbaya Kibera hakuna TV, ungeweza kugundua kwamba, Ligi zote za mpira wa miguu hapa East Africa huonyeshwa na Azam media house, hakuna media house yoyote hapa EA inaweza jaribu kujilinganisha na AZAM.Azam Nilifikiri ni unga kumbe ni station pia? Na ipo Kenya??
Boss, umesahau shughuli za Tz zilivosimama mlipokuwa mshabikia siasa za Jubilee na NASA? Hadi mkampa Rais Uhuru taji la baba wa demokrasia? Meanwhile wakenya hawajui majina ya mawaziri, vyama vya upinzanii Tz, wala jina la makamu wa rais wa Tz.Nionyeshe chombo chochote cha habari Tanzania kinachoandika kuhusu utendaji wa Uhuru Kenyatta kama jinsi ambavyo media za Kenya zinavyomfuatilia Magufuli. We are the "core" of this zone.
Hahahaha, Nimekuuliza onyesha chombo cha habari chochote Tanzania kinachofuatia na kuripoti utendaji Kazi wa Uhuru Kenyatta, kama jinsi vyombo vyenu vinavyomfuatilia Magufuli kila siku.Boss, umesahau shughuli za Tz zilivosimama mlipokuwa mshabikia siasa za Jubilee na NASA? Hadi mkampa Rais Uhuru taji la baba wa demokrasia? Meanwhile wakenya hawajui majina ya mawaziri, vyama vya upinzanii Tz, wala jina la makamu wa rais wa Tz.
Tatizo lako wewe unahisi wote humu ni kama wewe, hujawahi toka Dandora! Sisi wengine hapo kenya ni kama chooni tunaingia tutakavyo.Ala! Yani Hadi hizi stations zinasikika Tz???[emoji848][emoji848] Kweli Kenya ni kiongozi hapa Afrika...Hebu nitajie stations zenu tajika nje ya Tz Kama zipo[emoji25][emoji25][emoji25]
Sisi tunataka fuvu la kichwa tu tutengenezee hiriziAfu unifuate pia[emoji23][emoji23][emoji23]
Ala! Yani Hadi hizi stations zinasikika Tz???[emoji848][emoji848] Kweli Kenya ni kiongozi hapa Afrika...Hebu nitajie stations zenu tajika nje ya Tz Kama zipo[emoji25][emoji25][emoji25]
Baadaye, kufa kwanza.Afu unifuate pia😂😂😂
Sasa ni nani amefatiliwa, Sauti Sol ni wakenya. Jiwe si ndio anawafagilia? Rais wenu huwa anafatiliwa akitoa kauli za kutamausha, kama za kuwaamuru mzaane na kutowafunza 'wazazi'.Hahahaha, Nimekuuliza onyesha chombo cha habari chochote Tanzania kinachofuatia na kuripoti utendaji Kazi wa Uhuru Kenyatta, kama jinsi vyombo vyenu vinavyomfuatilia Magufuli kila siku.
Hii umeokota wapi, ila iwe fundisho kwa wasanii wa Kibongo, nyimbo zao nyingi hazina chochote cha maana zaidi ya tetema na nyegese, aina ya nyimbo ambazo hauwezi ukaskliza mbele ya watoto.
NI vyema kujua rais wa Tanzania huvutiwa na nyimbo za Wakenya.
Ona huyu,
Magufuli mara kibao anaimba vipande vipande za nyimbo za bongo fleva.
Weka humu walau hata video moja akitumia maneno ya wimbo wowote wa wasanii wenu kwenye hotuba yake.