Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Nikitaka uniletee mpaka Dar utanifanyia kiasi gani??Nauza tofali za kuchoma bei tsh.100 kwa tofali, napatikana kijiji cha Kauzeni Morogoro Mjini,karibuni
Umelielewa swali lakini??Hapana gharama za usafiri zipo juu yako, hiyo ni bei tofali tu. Karibu
Fanya utafiti wa kusafirisha to dar then utuambie plus usafiri itakuwa sh ngapi. Mm nahiyaji karibia tofali elfu ishirini tukielewanaHapana gharama za usafiri zipo juu yako, hiyo ni bei tofali tu. Karibu
Ukubwa wa tofal ni inch 3 na robo, maswali hayo mengine ni ya kiufundi na sina taaluma nayo. Labda kwa jibu hapo juu waweza jua kwa makadrio ya block za cement inakuaje, asanteTOFALI ZINA UKUBWA GANI?KWA MAANA TOFALI NGAPI ZA KUCHOMA ZINACHUKUA NAFASI YA TOFALI MOJA LA `BLOCK`AU KWA WASTANI TOFALI NGAPI ZINATOSHA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA VINNE,SELF.VIPI UBORA WA TOFALI ZENYEWE.HAZIPUKUTIKI?
Nimelielewa labda nijibu hivi, kuhusu usafiri ni juu ya makubaliano yako wew na dereva, lakin ninachofaham ni ghali kwa mpaka dar, tripu moja ya tofal elf moja wanabeba kwa 25 elf hapo kwa umbal wa kutoka kauzen hadi maeneo ya mzumbe, na mpaka mindu inafika had elf 45 per trip.Umelielewa swali lakini??
TOFALI ZINA UKUBWA GANI?KWA MAANA TOFALI NGAPI ZA KUCHOMA ZINACHUKUA NAFASI YA TOFALI MOJA LA `BLOCK`AU KWA WASTANI TOFALI NGAPI ZINATOSHA KUJENGA NYUMBA YA VYUMBA VINNE,SELF.VIPI UBORA WA TOFALI ZENYEWE.HAZIPUKUTIKI?
Kwa kukusaidia kwa dar, kibada zinapatikana pia. Na iman zitakua rahisi zaid kuliko kutoa morogoro mpaka darFanya utafiti wa kusafirisha to dar then utuambie plus usafiri itakuwa sh ngapi. Mm nahiyaji karibia tofali elfu ishirini tukielewana
Kwa kukusaidia kwa dar, kibada zinapatikana pia. Na iman zitakua rahisi zaid kuliko kutoa morogoro mpaka dar
Asante kwa kumshauri, niliwah pita nikaona tu wanachoma sikujua zina tafran zake.
Asante kwa kumshauri, niliwah pita nikaona tu wanachoma sikujua zina tafran zake.
Asante ngoja nifanye hivo, ntaleta mrejesho leo leo. Asante kwa wazoMkuu hii ni fursa ya wewe kufanya biashara.....zungumza na wenye mafuso pale msamvu...kwamba wanaweza kupeleka tofali Dar kwa kiasi gani.....alafu uje uwaambie wadau.....
Asante ngoja nifanye hivo, ntaleta mrejesho leo leo. Asante kwa wazo