Kobe
JF-Expert Member
- Jun 17, 2009
- 1,794
- 812
shukranSina no. Nilipita tu nikakuta hizo...fika kibada stand kwa madalali pale
Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
shukranSina no. Nilipita tu nikakuta hizo...fika kibada stand kwa madalali pale
Mkuu ni Kibada sehemu gani unaweza kunipa muongozo nazihitaji tofali hiziKwa kukusaidia kwa dar, kibada zinapatikana pia. Na iman zitakua rahisi zaid kuliko kutoa morogoro mpaka dar
Hizi tofali za Rungemba bila shakaKama umewahi kusafiri na kwenda nyanda za juu kusini hasa mikoa ya mbeya na iringa tofali hiziza kuchoma ndio zinazotumika katika ujenzi na ni imara sana ukipata zile zenyeudongo halisi wa mfinyanzi, ujenzi wa block kwa iringa na mbeya umekuja miaka ya sasahivi, View attachment 410884
Niaje kiongozi? Bado unauza matofali ya kuchoma?Nauza tofali za kuchoma bei tsh.100 kwa tofali, napatikana kijiji cha Kauzeni Morogoro Mjini,karibuni
Bila kusahau Mkoa wa Njombe na Rukwa.Kama umewahi kusafiri na kwenda nyanda za juu kusini hasa mikoa ya mbeya na iringa tofali hiziza kuchoma ndio zinazotumika katika ujenzi na ni imara sana ukipata zile zenyeudongo halisi wa mfinyanzi, ujenzi wa block kwa iringa na mbeya umekuja miaka ya sasahivi, View attachment 410884