Tofali za kuchoma kwa wakazi wa Morogoro

Tofali za kuchoma kwa wakazi wa Morogoro

Ukiweza tuwekee sample ya hayo matofali yako tuyathaminishe kisha tuongee biashara
1475387037104.jpg
1475387037104.jpg
1475387078542.jpg
1475387103441.jpg
1475387152144.jpg
 
Natuma baada ya kuiva pia sikua nimechukua picha maana hayajafumuliwa, natoa sample nitaituma si muda
 
Natuma pia baada ya kuchoma pia maana humu sikuwa nimesave picha zake, nitapiga na nitaweka humu.
 
Nikitaka uniletee mpaka Dar utanifanyia kiasi gani??
Nilikuuliza hivi,
Hapana gharama za usafiri zipo juu yako, hiyo ni bei tofali tu. Karibu
Mimi nafahamu kua gharama za usafiri ni juu yangu, nilichokuuliza ni kua hizo gharama za usafiri ukiziongezea kwenye tofali inakua shilling ngapi??
Umelielewa swali lakini??
Nimelielewa labda nijibu hivi, kuhusu usafiri ni juu ya makubaliano yako wew na dereva, lakin ninachofaham ni ghali kwa mpaka dar, tripu moja ya tofal elf moja wanabeba kwa 25 elf hapo kwa umbal wa kutoka kauzen hadi maeneo ya mzumbe,
Hukua umenielewa,
wewe ulijibu kama vile nimekuembia uniletee dar kwa bei hiyohiyo ya 100/= wakati sikumaanisha hivyo.
Anyway, kama alivyosema mkuu pale juu jaribu kuongea na wenye mafuso wakuabie kutoa tofali huko mpaka Dar ni kiasi gani, pia ufanye utafiti labda Fuso tani 10 linachukua tofali ngapi
 
Nilikuuliza hivi,
Mimi nafahamu kua gharama za usafiri ni juu yangu, nilichokuuliza ni kua hizo gharama za usafiri ukiziongezea kwenye tofali inakua shilling ngapi??


Hukua umenielewa,
wewe ulijibu kama vile nimekuembia uniletee dar kwa bei hiyohiyo ya 100/= wakati sikumaanisha hivyo.
Anyway, kama alivyosema mkuu pale juu jaribu kuongea na wenye mafuso wakuabie kutoa tofali huko mpaka Dar ni kiasi gani, pia ufanye utafiti labda Fuso tani 10 linachukua tofali ngapi
Asante kwa kunielewesha zaidi, nimeshauliza kuhusu usafiri gari nizopata zina tani 20 na kwa tani unalipia elfu ishirin zinaweza kuingia tofal elfu kumi na tano.
 
Wakuu NEGLIGIBLE Gsana na Shark...majibu nimepata ya usafiri kuwa gari la tani 20.linaweza kubeba tofal elf 15 kwa shilingi elf 20 kwa kila tani. Asanteni na kwa mawasiliano zaid naomba niwatumie namba yangu PM. Karibuni
 
Wakuu NEGLIGIBLE Gsana na Shark...majibu nimepata ya usafiri kuwa gari la tani 20.linaweza kubeba tofal elf 15 kwa shilingi elf 20 kwa kila tani. Asanteni na kwa mawasiliano zaid naomba niwatumie namba yangu PM. Karibuni
Ngoja Tuanze hesabu,
Gari ya Tani 20 itabeba kwa Tshs 20,000 kila Tani, hivyo Gharama za usafiri = Tshs 20,000 x Tani 20 = Tshs 400,000/=
Tofali nazo zikiwa 15,000 zitauzwa Tshs 100 x 15,000 = Tshs 1,500,000/=

So jumla ya kununua na kusafirisha tofali 15,000 itakua Tshs 1,500,000 + 400,000
= Tshs 1,900,000/=
 
Shark

unit cost per tofali in DSM ...... Tzs 1,900,000/15,000 = Tzs 126.67
Yeah,
Ingawa hii unit cost haiko applicable kwa any amount of tofali,
Hiyo ni average Unit Cost, ingawa ukichukua tofali 10,000 haitokua Tshs 126.67 x 10,000 = 1,266,667 sababu hapa kazungumzia usafiri wa Gari ni hiyo Tshs 400,000/= abayo nadhani iko fixed.

Kwa tofali 10,000 inaweza kua (Tshs 100 x 10,000) + 400,000 = Tsh 1,400,000 (Unit Cost/Average Tshs 140/tofali)
 
Yeah,
Ingawa hii unit cost haiko applicable kwa any amount of tofali,
Hiyo ni average Unit Cost, ingawa ukichukua tofali 10,000 haitokua Tshs 126.67 x 10,000 = 1,266,667 sababu hapa kazungumzia usafiri wa Gari ni hiyo Tshs 400,000/= abayo nadhani iko fixed.

Kwa tofali 10,000 inaweza kua (Tshs 100 x 10,000) + 400,000 = Tsh 1,400,000 (Unit Cost/Average Tshs 140/tofali)
Safi
 
Mkuu najua wewe ni QS au Architecture, pengine una uzoefu kwenye mambo ya ujenzi,
Hizi Tofali zikichomwa sawa sawa si zinakua angalau angalu kiasi nyumba unajengea poa tu
 
Mkuu najua wewe ni QS au Architecture, pengine una uzoefu kwenye mambo ya ujenzi,
Hizi Tofali zikichomwa sawa sawa si zinakua angalau angalu kiasi nyumba unajengea poa tu
Kama umewahi kusafiri na kwenda nyanda za juu kusini hasa mikoa ya mbeya na iringa tofali hiziza kuchoma ndio zinazotumika katika ujenzi na ni imara sana ukipata zile zenyeudongo halisi wa mfinyanzi, ujenzi wa block kwa iringa na mbeya umekuja miaka ya sasahivi,
1475408867804.jpg
 
Ngoja Tuanze hesabu,
Gari ya Tani 20 itabeba kwa Tshs 20,000 kila Tani, hivyo Gharama za usafiri = Tshs 20,000 x Tani 20 = Tshs 400,000/=
Tofali nazo zikiwa 15,000 zitauzwa Tshs 100 x 15,000 = Tshs 1,500,000/=

So jumla ya kununua na kusafirisha tofali 15,000 itakua Tshs 1,500,000 + 400,000
= Tshs 1,900,000/=
Sawasawa
 
0714800012, Kwa mawasiliano zaid
 
Bado zipo, wasiliana nami kwa mwenye uhitaji.
 
Bado zipo, wasiliana nami kwa mwenye uhitaji.
Niko Morogoro nahitaji tofali ndogo size 100mm upana, 100mm urefu kwenda juu na 250mm urefu, zilizochomwa kwa makaa ya mawe, Naweza kupata wapi kwa Morogoro na bei yake ikoje.
 
Niko Morogoro nahitaji tofali ndogo size 100mm upana, 100mm urefu kwenda juu na 250mm urefu, zilizochomwa kwa makaa ya mawe, Naweza kupata wapi kwa Morogoro na bei yake ikoje.
Tuwasiliane ndugu kwa no. 0714800012. Zinapatikana
 
Kwa kukusaidia kwa dar, kibada zinapatikana pia. Na iman zitakua rahisi zaid kuliko kutoa morogoro mpaka dar
unaweza nisaidia contact za hapo kibada? au maelezo yanayoweza kunifikisha.
 
unaweza nisaidia contact za hapo kibada? au maelezo yanayoweza kunifikisha.
Sina no. Nilipita tu nikakuta hizo...fika kibada stand kwa madalali pale
 
Back
Top Bottom