Tofauti ipo kubwa sana kati ya Diamond na Ali kiba

Tofauti ipo kubwa sana kati ya Diamond na Ali kiba

Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kupitia nyimbo za wasanii hao zilizotoka hivi karibuni zimeonyesha utofauti wa uwezo na kukubalika uliopo kati ya wasanii hawa wawili

Ali kiba ametoa wimbo akishirikiana Ommy dempoz na cheed ambao hivi sasa unatakribani wiki moja ukiwa katika mtandao wa u tube huku ukiwa ba views milioni moja.

View attachment 1079288

Diamond ametoa wimbo wake akiwa peke yake ambao una siku moja ndani ya mtandaobwa u tube ambao hivi sasa una views milioni moja na laki nne

View attachment 1079286

Kwa sasa hakuna ubishi kabisa level nzima Rock Star haiwezi kushindana na Diamond peke yake tena wimbo ambao ni wa kawaida sana na ninategemea swala la ubishi lililopo nani mkali kati ya Diamond na Ali kiba litakuwa limepata majibu



published february 2019 mpaka sasa una viewers 82k, why
 
halafu utakuta hata dimond hakujui, hakulipi, mahaba tu
Pole sana, najua nimekuumiza baada ya kukuumbua! Narudia, ACHA UONGO!!

Ali Kiba ni King, yuko hivyo atabaki hapo hapo. Diamond will never be a King!
Nani alimpa huo u-King kama si alijipachika mwenyewe baada ya kupotea kwenye game kwa takribani miaka miwili, akarudi na kujipachika u-King na kuingia na kiti kwenye show ya Fiesta ambayo Clouds waliifanya kila msanii aingie na staili yake na yeye ndo akaja na staili ya u-King huku akidai amekuja kuchukua kiti chake!!!

King huwa anabaki na yuko moderate, hatoi siri za chumbani mwake na kuchitiwa nawanamke wake
Tunazungumzia muziki; how come mtoto wa kiume unafuatilia habari za mambo ya chumbani ya mwanaume mwenzako?!

Diamond bila kick hawezi
Mtaishia kusema bila kiki hawezi lakini kila mwenye akili timamu anafahamu kiki haaijawahi kumfanya mtu akadumu kwenye game for 10 years!!
na kwa nn kaiba wimbo?
NI zuzu tu ndio anaweza kuamini wimbo uliopo YouTube for only 2 months unaweza kuibiwa na mtu mwingine!!

But all in all, beat imetengenezwa na Laizer, ambae ni WCB ya Diamond!

Mashairi ya original version ameendelea nayo na kuongezea mengine baada ya kuyatoa mashairi ya King Tee!

Sasa hapo ameiba nini?!

Hivi umeshawahi kujiuliza ni kwanini ingawaje King Tee anabanwa na mashabiki wake aseme what's going on lakini anaishia kuongea tungo tata?! To help you, anafahamu what's going on lakini ameamua kupiga kimya na kujibu kwa tungo tata kwa sababu anafahamu hili ni bonge la stunt kwake!!! Kuna watu kibao wamemfahamu KT kupitia hii issue!!
 
Duh! We jamaa mbona kila post ni issue za Vevo tu! Hivi uliambiwa what's so special huko Vevo?!

Jibu fupi ni kwamba, kwa mjanja mtafuta pesa hawezi kuwa Vevo kwa sababu mgawanyo wa mapato kupitia Vevo ni mkubwa ukilinganisha na YouTube!

Na hapa ningependa kusisitiza kwamba zile za akina Kiba zinazoonekana hadi Kariakoo ni Vevo Mirror Accounts ambazo zipo YouTube na sio Vevo!

Sio kwamba hawana ORIGINAL Vevo accounts bali kupitia original Vevo accounts walikuwa hawafikishi hata Views 1000 kwa sababu Vevo original ilikuwa inapatikana mbele peke yake! Kwa Afrika kama kuna nchi zilikuwa unaweza ku-access Vevo basi hata 5 hazifiki… na kati ya hizo hakuna hata moja kutoka East Africa!

Mond ni msaka pesa… hawezi kufanya jambo kwa sifa eti yupo Vevo wakati anajua akiwa YouTube anapiga pesa kubwa kuliko kupitia Vevo!

Na labda tu nikujuze kwamba hata hao Vevo wenyewe wameshafungasha virago vyao na focus yao yote ipo YouTube!

Kiba hata kama alitaka kutoka Vevo (na-assume na yeye angekuwa mjanja kama Mond) ingekuwa ngumu kwa sababu moja ya wamiliki wa Vevo ni Sony! Ingawaje hata UMG nao ni wamiliki wa Vevo, lakini mkataba wa Mond na Kiba kwa hizi multinational companies ipo tofauti!
Vevo makes you look more"legit"as an artist.. Dimpoz alisema ujanjaujanja akapewa sumu. Tafakari
 
Vevo makes you look more"legit"as an artist.. Dimpoz alisema ujanjaujanja akapewa sumu. Tafakari
Ndo maana nimekuambia huijui Vevo! Zile akaunti za akina Kiba sio za Vevo bali ni Vevo mirror accounts zilizopo YouTube! Kama unaamini ujanja ujanja kupitia YouTube upo (kimsingi; HAUPO ingawaje watu wanadanganyana eti unaweza kununua Views) basi hata huko Vevo Mirror accounts ujanja ujanja upo kwa sababu kimsingi na zenyewe ni YouTube accounts! Accounts zenyewe za Vevo hazipo vile... interface yake ni full black!

Hao akina Dimpoz mnaowasikiliza hawajui lolote kuhusu YouTube vs Vevo!!
 
huyu diamond zama zake zimeisha siku hizi akitoa wimbo bila kumshirikisha akina harmonize ni zero,kwa mimi harmonize yupo mbali sana kumpita diamond.
ukiitwa mpuuzi utabisha??
Embu tuambie ni mbali wapi alipo harmonize ambako kampita diamond?
 
Mnaobishana kuhusu wanaume mwenzenu na kuandika comments ndefu ndefu tuwaletee maji nahisi makoo yamewakauka
 
Kama kichwa kinavyojieleza hapo juu kupitia nyimbo za wasanii hao zilizotoka hivi karibuni zimeonyesha utofauti wa uwezo na kukubalika uliopo kati ya wasanii hawa wawili

Ali kiba ametoa wimbo akishirikiana Ommy dempoz na cheed ambao hivi sasa unatakribani wiki moja ukiwa katika mtandao wa u tube huku ukiwa ba views milioni moja.

View attachment 1079288

Diamond ametoa wimbo wake akiwa peke yake ambao una siku moja ndani ya mtandaobwa u tube ambao hivi sasa una views milioni moja na laki nne

View attachment 1079286

Kwa sasa hakuna ubishi kabisa level nzima Rock Star haiwezi kushindana na Diamond peke yake tena wimbo ambao ni wa kawaida sana na ninategemea swala la ubishi lililopo nani mkali kati ya Diamond na Ali kiba litakuwa limepata majibu
Biashara matangazo
 
Sishabiki yoyete hapo mimi nashabikia miziki ya akina Don Williums, Kenny Rogger, Doll Parton nk, Ila Diamond ni level nyingine kabisa.
Njoo uchukue albam zote za hao uliowataja.
Country tamu sana.
 
Back
Top Bottom