Tofauti kati ya CCM Digital na Chadema Digital

Tofauti kati ya CCM Digital na Chadema Digital

aliyewaita hao ni nani? wao ndiyo wanaomba kwenda ikulu ili kurekebisha mambo yao kibiashara hakuna mtu anawaita ikulu umechemsha hatahujui kinachoendelea nchini
Mbona wewe huendi ikulu au wewe huna shida? wananchi wangapi wana matatizo lukuki wanataka kwenda ikulu na hawaendi? madaraja yapo mpaka mbinguni mzee, tatufa pesa upate heshima.
 
Mbona wewe huendi ikulu au wewe huna shida? wananchi wangapi wana matatizo lukuki wanataka kwenda ikulu na hawaendi? madaraja yapo mpaka mbinguni mzee, tatufa pesa upate heshima.

ingekua ivo maombi yao yangekua yanaskika ya kwanza mbna, sielewi mlikua mnahubiri haki gan mpaka apo
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Aikael Mbowe amezindua mfumo wa kidigital kwa ajili ya shughuli za Chama chao. Mfumo wa kidigital unasaidia kutunza kumbukumbu za Wanachama, kuratibu malipo ya ada za uanachama kwa urahisi pamoja na kurahisisha mfumo wa taarifa kutoka katika Chama kwenda kwa Wanachama.

Wakati CHADEMA wanazindua mfumo wa kidigital leo, CCM wameanza utaratibu huu miaka miwili nyuma. Ni bahati mbaya kwamba CCM hawazungumzi sana mambo haya hivyo CHADEMA kudhani ni wao wameanzisha mfumo huu katika vyama vya Siasa. Ukweli ni kwamba, CCM ndicho chama cha kwanza kuzindua mfumo huu na kuutumia. Hata sasa mafanikio yake ni makubwa!!

Tofauti kubwa kati ya CCM digital na CHADEMA digital ipo katika Usawa wa Wanachama na HAKI za Wanachama kama ifuatavyo;

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

B: CHADEMA Digital

Wanachama wanatofautiana. Kuna makundi manne, maskini wa chini, maskini wa kati, matajiri wa kati na matajiri sana. Wanachama katika Chadema digital wanabaguliwa kwa uwezo wao wa kifedha. Wanachama maskini wa chini wanalipa ada ya Uanachama ya Tsh. 2,500/= kwa mwaka. Kadi zao zinaitwa za kwaida, bila shaka hawa watakua wanakaa nyuma mwisho kabisa katika vikao vya Chama. Wanachama maskini wa kati wanalipa ada ya Tshs. 25,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Silver, hawa watakua na manufaa kidogo katika Chama. Matajiri wa chini wanalipa Tsh. 50,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Gold. Hawa watakua na manufaa zaidi ya wale wa Silver. Matajiri wa kati wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Diamond na wale matajiri wa juu wanalipa zaidi ya hapo, kadi zao zinaitwa Platnum. Hawa makundi mawili ya juu watakua na manufaa makubwa sawa na malipo yao. Kila daraja lina faida zake, watakaolipa zaidi ndio wenye kunufaika zaidi na fursa za Chama pamoja na motisha mbalimbali kama uongozi, uteuzi nk. Angalia daraja lako kwa uchumi wako halafu utambue nafasi yako katika Chama. Kwa kifupi, CHADEMA sasa inakwenda kuwa Chama cha matajiri typically.

Maskini wenzangu wa Chadema sahau kuhusu uongozi katika Chama au fursa na nafuu yoyote, mtu hawezi kuacha kumteua katiba Ubunge Mwanachama aliyelipia kadi ya Platnum ya Tshs. 150,000/= kwa mwaka akuteue wewe uliyelipia kadi ya kawaida ya Tshs. 2,500/= kwa mwaka. Sasa ndio unaweza kuona tofauti kati ya CCM na vyama vingine. Hata ningekua mimi ningelipia Diamond au Platnum mapema ili nineemeke!
#SiasaNaBiashara.

MenukaJr,

Da'slam-Tanzania.
Duniani binadamu hatufanani na hatutakaa tufanane...PIA ukitoa 2500 kwa mwaka Au 200,000 kwa mwaka wote tunakuwa wanachama Watiifu wa CDM NA HAKI ZETU ZNAKUWA SAWA.. . PIA KAA UKIJUA CDM HAITAKAA IFANANE NA CCM KAMWE...

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Tatizo lako linaweza kuandika bila kufanya utafiti. Ungekua na nafasi, ungefanya utafiti kidogo kisha ukapata cha kuandika. Wewe ulitaka TRA wathibitishe kwamba mtandao wao ni mbovu ikiwa ni matokeo ya uzembe? Acha kupokea taarifa zilizopikwa, nenda field kazitafute zilizo halisi.
Nishagundua kumbe UNA MATATIZO YA AKILI

Sent from my TECNO F2 using JamiiForums mobile app
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Aikael Mbowe amezindua mfumo wa kidigital kwa ajili ya shughuli za Chama chao. Mfumo wa kidigital unasaidia kutunza kumbukumbu za Wanachama, kuratibu malipo ya ada za uanachama kwa urahisi pamoja na kurahisisha mfumo wa taarifa kutoka katika Chama kwenda kwa Wanachama.

Wakati CHADEMA wanazindua mfumo wa kidigital leo, CCM wameanza utaratibu huu miaka miwili nyuma. Ni bahati mbaya kwamba CCM hawazungumzi sana mambo haya hivyo CHADEMA kudhani ni wao wameanzisha mfumo huu katika vyama vya Siasa. Ukweli ni kwamba, CCM ndicho chama cha kwanza kuzindua mfumo huu na kuutumia. Hata sasa mafanikio yake ni makubwa!!

Tofauti kubwa kati ya CCM digital na CHADEMA digital ipo katika Usawa wa Wanachama na HAKI za Wanachama kama ifuatavyo;

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

B: CHADEMA Digital

Wanachama wanatofautiana. Kuna makundi manne, maskini wa chini, maskini wa kati, matajiri wa kati na matajiri sana. Wanachama katika Chadema digital wanabaguliwa kwa uwezo wao wa kifedha. Wanachama maskini wa chini wanalipa ada ya Uanachama ya Tsh. 2,500/= kwa mwaka. Kadi zao zinaitwa za kwaida, bila shaka hawa watakua wanakaa nyuma mwisho kabisa katika vikao vya Chama. Wanachama maskini wa kati wanalipa ada ya Tshs. 25,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Silver, hawa watakua na manufaa kidogo katika Chama. Matajiri wa chini wanalipa Tsh. 50,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Gold. Hawa watakua na manufaa zaidi ya wale wa Silver. Matajiri wa kati wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Diamond na wale matajiri wa juu wanalipa zaidi ya hapo, kadi zao zinaitwa Platnum. Hawa makundi mawili ya juu watakua na manufaa makubwa sawa na malipo yao. Kila daraja lina faida zake, watakaolipa zaidi ndio wenye kunufaika zaidi na fursa za Chama pamoja na motisha mbalimbali kama uongozi, uteuzi nk. Angalia daraja lako kwa uchumi wako halafu utambue nafasi yako katika Chama. Kwa kifupi, CHADEMA sasa inakwenda kuwa Chama cha matajiri typically.

Maskini wenzangu wa Chadema sahau kuhusu uongozi katika Chama au fursa na nafuu yoyote, mtu hawezi kuacha kumteua katiba Ubunge Mwanachama aliyelipia kadi ya Platnum ya Tshs. 150,000/= kwa mwaka akuteue wewe uliyelipia kadi ya kawaida ya Tshs. 2,500/= kwa mwaka. Sasa ndio unaweza kuona tofauti kati ya CCM na vyama vingine. Hata ningekua mimi ningelipia Diamond au Platnum mapema ili nineemeke!
#SiasaNaBiashara.

MenukaJr,

Da'slam-Tanzania.
Political persuasion, wealth and Influence, these are bed fellows.
 
Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka.
Kwa CCM akuna mwanachama tajiri au masikini
Masikini na tajiri wote wanalipa...

Kuna mdau humu kama sijakosea ni dmkali angetusaidia hapa
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Aikael Mbowe amezindua mfumo wa kidigital kwa ajili ya shughuli za Chama chao. Mfumo wa kidigital unasaidia kutunza kumbukumbu za Wanachama, kuratibu malipo ya ada za uanachama kwa urahisi pamoja na kurahisisha mfumo wa taarifa kutoka katika Chama kwenda kwa Wanachama.

Wakati CHADEMA wanazindua mfumo wa kidigital leo, CCM wameanza utaratibu huu miaka miwili nyuma. Ni bahati mbaya kwamba CCM hawazungumzi sana mambo haya hivyo CHADEMA kudhani ni wao wameanzisha mfumo huu katika vyama vya Siasa. Ukweli ni kwamba, CCM ndicho chama cha kwanza kuzindua mfumo huu na kuutumia. Hata sasa mafanikio yake ni makubwa!!

Tofauti kubwa kati ya CCM digital na CHADEMA digital ipo katika Usawa wa Wanachama na HAKI za Wanachama kama ifuatavyo;

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

B: CHADEMA Digital

Wanachama wanatofautiana. Kuna makundi manne, maskini wa chini, maskini wa kati, matajiri wa kati na matajiri sana. Wanachama katika Chadema digital wanabaguliwa kwa uwezo wao wa kifedha. Wanachama maskini wa chini wanalipa ada ya Uanachama ya Tsh. 2,500/= kwa mwaka. Kadi zao zinaitwa za kwaida, bila shaka hawa watakua wanakaa nyuma mwisho kabisa katika vikao vya Chama. Wanachama maskini wa kati wanalipa ada ya Tshs. 25,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Silver, hawa watakua na manufaa kidogo katika Chama. Matajiri wa chini wanalipa Tsh. 50,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Gold. Hawa watakua na manufaa zaidi ya wale wa Silver. Matajiri wa kati wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Diamond na wale matajiri wa juu wanalipa zaidi ya hapo, kadi zao zinaitwa Platnum. Hawa makundi mawili ya juu watakua na manufaa makubwa sawa na malipo yao. Kila daraja lina faida zake, watakaolipa zaidi ndio wenye kunufaika zaidi na fursa za Chama pamoja na motisha mbalimbali kama uongozi, uteuzi nk. Angalia daraja lako kwa uchumi wako halafu utambue nafasi yako katika Chama. Kwa kifupi, CHADEMA sasa inakwenda kuwa Chama cha matajiri typically.

Maskini wenzangu wa Chadema sahau kuhusu uongozi katika Chama au fursa na nafuu yoyote, mtu hawezi kuacha kumteua katiba Ubunge Mwanachama aliyelipia kadi ya Platnum ya Tshs. 150,000/= kwa mwaka akuteue wewe uliyelipia kadi ya kawaida ya Tshs. 2,500/= kwa mwaka. Sasa ndio unaweza kuona tofauti kati ya CCM na vyama vingine. Hata ningekua mimi ningelipia Diamond au Platnum mapema ili nineemeke!
#SiasaNaBiashara.

MenukaJr,

Da'slam-Tanzania.
Yaani unafurahia uhuni wa Mbunge anayelipwa 12m kwa mwezi kulipa ada ya 1200/-?
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Aikael Mbowe amezindua mfumo wa kidigital kwa ajili ya shughuli za Chama chao. Mfumo wa kidigital unasaidia kutunza kumbukumbu za Wanachama, kuratibu malipo ya ada za uanachama kwa urahisi pamoja na kurahisisha mfumo wa taarifa kutoka katika Chama kwenda kwa Wanachama.

Wakati CHADEMA wanazindua mfumo wa kidigital leo, CCM wameanza utaratibu huu miaka miwili nyuma. Ni bahati mbaya kwamba CCM hawazungumzi sana mambo haya hivyo CHADEMA kudhani ni wao wameanzisha mfumo huu katika vyama vya Siasa. Ukweli ni kwamba, CCM ndicho chama cha kwanza kuzindua mfumo huu na kuutumia. Hata sasa mafanikio yake ni makubwa!!

Tofauti kubwa kati ya CCM digital na CHADEMA digital ipo katika Usawa wa Wanachama na HAKI za Wanachama kama ifuatavyo;

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

B: CHADEMA Digital

Wanachama wanatofautiana. Kuna makundi manne, maskini wa chini, maskini wa kati, matajiri wa kati na matajiri sana. Wanachama katika Chadema digital wanabaguliwa kwa uwezo wao wa kifedha. Wanachama maskini wa chini wanalipa ada ya Uanachama ya Tsh. 2,500/= kwa mwaka. Kadi zao zinaitwa za kwaida, bila shaka hawa watakua wanakaa nyuma mwisho kabisa katika vikao vya Chama. Wanachama maskini wa kati wanalipa ada ya Tshs. 25,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Silver, hawa watakua na manufaa kidogo katika Chama. Matajiri wa chini wanalipa Tsh. 50,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Gold. Hawa watakua na manufaa zaidi ya wale wa Silver. Matajiri wa kati wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Diamond na wale matajiri wa juu wanalipa zaidi ya hapo, kadi zao zinaitwa Platnum. Hawa makundi mawili ya juu watakua na manufaa makubwa sawa na malipo yao. Kila daraja lina faida zake, watakaolipa zaidi ndio wenye kunufaika zaidi na fursa za Chama pamoja na motisha mbalimbali kama uongozi, uteuzi nk. Angalia daraja lako kwa uchumi wako halafu utambue nafasi yako katika Chama. Kwa kifupi, CHADEMA sasa inakwenda kuwa Chama cha matajiri typically.

Maskini wenzangu wa Chadema sahau kuhusu uongozi katika Chama au fursa na nafuu yoyote, mtu hawezi kuacha kumteua katiba Ubunge Mwanachama aliyelipia kadi ya Platnum ya Tshs. 150,000/= kwa mwaka akuteue wewe uliyelipia kadi ya kawaida ya Tshs. 2,500/= kwa mwaka. Sasa ndio unaweza kuona tofauti kati ya CCM na vyama vingine. Hata ningekua mimi ningelipia Diamond au Platnum mapema ili nineemeke!
#SiasaNaBiashara.

MenukaJr,

Da'slam-Tanzania.
Hata NMB KUNA AINA TATU ZA KADI.
 
Mwenyekiti wa CHADEMA-Taifa, Freeman Aikael Mbowe amezindua mfumo wa kidigital kwa ajili ya shughuli za Chama chao. Mfumo wa kidigital unasaidia kutunza kumbukumbu za Wanachama, kuratibu malipo ya ada za uanachama kwa urahisi pamoja na kurahisisha mfumo wa taarifa kutoka katika Chama kwenda kwa Wanachama.

Wakati CHADEMA wanazindua mfumo wa kidigital leo, CCM wameanza utaratibu huu miaka miwili nyuma. Ni bahati mbaya kwamba CCM hawazungumzi sana mambo haya hivyo CHADEMA kudhani ni wao wameanzisha mfumo huu katika vyama vya Siasa. Ukweli ni kwamba, CCM ndicho chama cha kwanza kuzindua mfumo huu na kuutumia. Hata sasa mafanikio yake ni makubwa!!

Tofauti kubwa kati ya CCM digital na CHADEMA digital ipo katika Usawa wa Wanachama na HAKI za Wanachama kama ifuatavyo;

A: CCM DIGITAL

Wanachama wote ni sawa. Wote wanalipa ada zao za Uanachama kwa usawa, wote wana haki sawa. Kwa CCM hakuna Mwanachama tajiri au masikini, wote wamewekwa katika kapu moja. Masikini na tajiri wote wanalipa ada ya Uanachama ya Tshs. 1,200/= kwa mwaka. Katika CCM hakuna Mwanachama mbora zaidi ya mwingine. Kwa sababu hii, wanachama wa CCM wote wana-hadhi moja hakuna show-off ya uwezo wa mtu kwenye Chama. Wote wana wajibu mmoja na haki zenye kufanana bila kutofautishwa au kubaguliwa kwa hali ya uchumi. Kwa kifupi, hiki ni Chama cha wote, wenye nacho na wasio nacho ndio maana hata ada ya uanachama ni Tsh. 100 kwa mwezi.

B: CHADEMA Digital

Wanachama wanatofautiana. Kuna makundi manne, maskini wa chini, maskini wa kati, matajiri wa kati na matajiri sana. Wanachama katika Chadema digital wanabaguliwa kwa uwezo wao wa kifedha. Wanachama maskini wa chini wanalipa ada ya Uanachama ya Tsh. 2,500/= kwa mwaka. Kadi zao zinaitwa za kwaida, bila shaka hawa watakua wanakaa nyuma mwisho kabisa katika vikao vya Chama. Wanachama maskini wa kati wanalipa ada ya Tshs. 25,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Silver, hawa watakua na manufaa kidogo katika Chama. Matajiri wa chini wanalipa Tsh. 50,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Gold. Hawa watakua na manufaa zaidi ya wale wa Silver. Matajiri wa kati wanalipa Tshs. 100,000/= kwa mwaka, kadi zao zinaitwa Diamond na wale matajiri wa juu wanalipa zaidi ya hapo, kadi zao zinaitwa Platnum. Hawa makundi mawili ya juu watakua na manufaa makubwa sawa na malipo yao. Kila daraja lina faida zake, watakaolipa zaidi ndio wenye kunufaika zaidi na fursa za Chama pamoja na motisha mbalimbali kama uongozi, uteuzi nk. Angalia daraja lako kwa uchumi wako halafu utambue nafasi yako katika Chama. Kwa kifupi, CHADEMA sasa inakwenda kuwa Chama cha matajiri typically.

Maskini wenzangu wa Chadema sahau kuhusu uongozi katika Chama au fursa na nafuu yoyote, mtu hawezi kuacha kumteua katiba Ubunge Mwanachama aliyelipia kadi ya Platnum ya Tshs. 150,000/= kwa mwaka akuteue wewe uliyelipia kadi ya kawaida ya Tshs. 2,500/= kwa mwaka. Sasa ndio unaweza kuona tofauti kati ya CCM na vyama vingine. Hata ningekua mimi ningelipia Diamond au Platnum mapema ili nineemeke!
#SiasaNaBiashara.

MenukaJr,

Da'slam-Tanzania.
Huo wako ni ugoro original na mtupu. Mimi nilijiunga na CHADEMA digital miaka mitatu iliyopita na kulipa ada yangu ya mwaka ya tshs 2000.
Kawadanganye wadangaji wenzio tu.
 
Hivi umaskini ni sifa?? Kuna wakati tulisema Maadui watatu UJINGA,MARADHI na UMASKINI,ni lini tulipopatana na UMASKINI.Kwa maana ni kama vile watu wanaona kana kwamba UMASKINI ni jambo la kujivunia na kushabikia.
 
Back
Top Bottom