jambo1
JF-Expert Member
- Jul 5, 2009
- 241
- 29
Chadema ni chama Makini kinachosimamia Kile Wanachokiamini na Maamuzi yake kwa Ujumla..!Vyama vingine bado vinasita kusimamia maamuzi yake hasa Magamba..!Hongera Chadema kwa kusimamia maamuzi ya kamati kuu..!
Wadau mnaweza leta tofauti nyingine najua zipo nyingi..!
Wadau mnaweza leta tofauti nyingine najua zipo nyingi..!