USSR
JF-Expert Member
- Jul 15, 2015
- 10,904
- 26,184
Baada ya Fortunatus Buyobe kutaka mtoto nayeumwa asaidiwe na wizara huku akishindwa kutofautisha baina ya wizara aya afya na ile ya jinsia na ulemavu na mwishowe kuambiwa afate utaratibu jamaa amekuwa mbogo na kuaishia kulumbana na waziri.
Hizi dili za kuchangisha harambee mitandaoni imekuwa fasheni ya upigaji na huyu mzozo utazua jambo kubwa sana
Keep waiting
USSR
Hizi dili za kuchangisha harambee mitandaoni imekuwa fasheni ya upigaji na huyu mzozo utazua jambo kubwa sana
Keep waiting
USSR