Tofauti kati ya Fortunatus Buyobe na Waziri Gwajima itasababisha mtu aliwe kichwa karibuni

Tofauti kati ya Fortunatus Buyobe na Waziri Gwajima itasababisha mtu aliwe kichwa karibuni

USSR

JF-Expert Member
Joined
Jul 15, 2015
Posts
10,904
Reaction score
26,184
Baada ya Fortunatus Buyobe kutaka mtoto nayeumwa asaidiwe na wizara huku akishindwa kutofautisha baina ya wizara aya afya na ile ya jinsia na ulemavu na mwishowe kuambiwa afate utaratibu jamaa amekuwa mbogo na kuaishia kulumbana na waziri.

Hizi dili za kuchangisha harambee mitandaoni imekuwa fasheni ya upigaji na huyu mzozo utazua jambo kubwa sana

Keep waiting

USSR
 
Buyobe awe makini sana. Posts zake za hivi karibuni kuhusu issue ya yule binti kubakwa ni wazi hazijawapendeza wenye mamlaka.

Ukijumlisha na hii issue, atashughulikiwa kwa njia ya mahakama au wanaweza wakamdaka
 
Back
Top Bottom