Last emperor
JF-Expert Member
- Mar 22, 2015
- 10,351
- 9,855
Usiingize Simba katika ujinga wa Yanga. Yanga imejaa waswahili(Wazaramo na Wakwere).Ila tuache masihara, kejeli, wivu na utani, ukweli ni kwamba Yanga kuna kitu cha kujifunza. Kwavile tu hizi timu mbili zimekuwa na mfumo wa kukebihiana ila ilipaswa uongozi wa Yanga ukae chini na wenzao kuwauliza wanawezaje hii ni kwa maendeleo ya soka letu. Tumezifanya hizi vilabu kuwa kama maadui kiasi kwamba hata kuomba maelekezo kwa mwenzio kwa mbinu anazofanya unashindwa unabakia kujifanya mjuaji na bado unashindwa pamoja na kujifanya mjuaji.
Yanga teknik wanatumia sasaiv wanachukua viongozi waliokuwa Simba. Tatizo sasa hao viongozi sio key people. Pale Simba kuna injini za SIMBA kama Mulamu Nghambi, Magori, Kaduguda, Try again, Rage, wajumbe wa bodi ya Simba nk...ambao wanajua mpira hasa. Yule mama pale anafundishwa tu ya kufanya. Lakin kuna wenye Simba yao wapo nyumaIla tuache masihara, kejeli, wivu na utani, ukweli ni kwamba Yanga kuna kitu cha kujifunza. Kwavile tu hizi timu mbili zimekuwa na mfumo wa kukebihiana ila ilipaswa uongozi wa Yanga ukae chini na wenzao kuwauliza wanawezaje hii ni kwa maendeleo ya soka letu. Tumezifanya hizi vilabu kuwa kama maadui kiasi kwamba hata kuomba maelekezo kwa mwenzio kwa mbinu anazofanya unashindwa unabakia kujifanya mjuaji na bado unashindwa pamoja na kujifanya mjuaji.
tumewapa manara na senzo au tuwape na barbra?Ila tuache masihara, kejeli, wivu na utani, ukweli ni kwamba Yanga kuna kitu cha kujifunza. Kwavile tu hizi timu mbili zimekuwa na mfumo wa kukebihiana ila ilipaswa uongozi wa Yanga ukae chini na wenzao kuwauliza wanawezaje hii ni kwa maendeleo ya soka letu. Tumezifanya hizi vilabu kuwa kama maadui kiasi kwamba hata kuomba maelekezo kwa mwenzio kwa mbinu anazofanya unashindwa unabakia kujifanya mjuaji na bado unashindwa pamoja na kujifanya mjuaji.
Hapana aje Motumewapa manara na senzo au tuwape na barbra?
Kwahiyo sisi wakwere na wazaramo ndio waswahili pekee?Usiingize Simba katika ujinga wa Yanga. Yanga imejaa waswahili(Wazaramo na Wakwere).
Mna mambo ya kipumbavu sana. Nchi inashindwa kuendelea kwa uswahili na upumbavu wenu.Kwahiyo sisi wakwere na wazaramo ndio waswahili pekee?
Mkuu sisi wakwere na wazaramo hatuzidi hata 8% of this country populationMna mambo ya kipumbavu sana. Nchi inashindwa kuendelea kwa uswahili na upumbavu wenu.
Mzee Mpili, Akina Haris, Akina kiwete na wengine wengi tu. Wameing'ang'ania yanga hawaiendelezi na wanataka timu zingine ziwe kama wao. Ndani ya Simba wazaramo na wakwere wamefumbwa midomo.Mkuu sisi wakwere na wazaramo hatuzidi hata 8% of this country population
Nafikiri tatizo lipo kwenu nyie 'wastarabu' ambao ndio population dominant.