Kasomi
JF-Expert Member
- Sep 3, 2014
- 11,030
- 20,391
NGUVU YA TABIA
Tofauti Kati Ya Tabia Za Maskini Na Tajiri.
Tajiri ni mtu ambaye yuko serious katika maswala ya utafutaji wa pesa na nidhamu ya pesa kwa ujumla.
~Tajiri Yuko serious katika utafutaji wa pesa, yani anatafufa pesa kwa nguvu zote mpaka muda wake wa kulala ni mdogo sana, muda mwingi anafanya kazi.
Kupenda usingizi ni moja ya tabia inayokemewa na Mungu kwenye maandiko, kwa sababu kulala sana ni ishara kwamba HUNA KAZI YA KUFANYA.
Maskini wengi hufanya kazi kwa muda mchache sana na wanatumia muda mwingi kulala au kufanya vitu visivyo na msingi wowote.
Hebu jitafakari kwa kutumia kanuni hii.. 8:8:8
Ukichukua masaa 24 ukagawa kwa 3 unapata masaa 8
Tuchukulie unaingia kazini saa 2 n kutoka saa 10, hapo umetumia masaa 8, Ukilala kitaalamu kabisa utalala masaa 8... swali linakuja masaa 8 yaliyobaki huwa unafanya nini?
Ukiwaza kwa undani zaidi utagundua kwamba Walioajiriwa wengi kama wanatumia masaa 8 kazini, na 8 kulala, Je masaa 8 huwa wanayapeleka wapi?
Wanafunzi wa vyuo mara nyingi ukikuta vipindi vimebana siku hiyo watatumia masaa 8 vipindi vinne vyenye masaa 2
Kama mwanafunzi huyu wa chuo atalala masaa 8, mana yake anabakiwa na masaa 8 YA KUPOTEZA.
Tafiti zinaonesha kwamba hayo masaa 8, ndiyo yanayotengeneza MASKINI WENGI.
Na hayo masaa ndiyo yanatengeneza MATAJIRI WENGI.
Waajiriwa waliofunguka akili, hutumia muda wao wa ziada kufanya kazi mbadala za kuwaongezea KIPATO. Mfano: Kuna mtu namfahamu alikuwa anaingiza Millioni 30M Kila mwezi ndani ya kampuni ya fulani kwa kufanya network marketing, na bado ameajiriwa na anatumia muda wake wa ziada.
Nawafahamu wanafunzi wengi wa vyuo wanaofanya kazi za kujiongezea kipato kwa muda wao wa ziada.
Leo katika uzi huu, jiulize je huwa unatumiaje masaa yako 8?....
Tukutane kwenye nyuzi zingine, Tukiendelea kipengele cha nidhamu ya fedha.
----------------------------------
Tofauti Kati Ya Tabia Za Maskini Na Tajiri.
Tajiri ni mtu ambaye yuko serious katika maswala ya utafutaji wa pesa na nidhamu ya pesa kwa ujumla.
~Tajiri Yuko serious katika utafutaji wa pesa, yani anatafufa pesa kwa nguvu zote mpaka muda wake wa kulala ni mdogo sana, muda mwingi anafanya kazi.
Kupenda usingizi ni moja ya tabia inayokemewa na Mungu kwenye maandiko, kwa sababu kulala sana ni ishara kwamba HUNA KAZI YA KUFANYA.
Maskini wengi hufanya kazi kwa muda mchache sana na wanatumia muda mwingi kulala au kufanya vitu visivyo na msingi wowote.
Hebu jitafakari kwa kutumia kanuni hii.. 8:8:8
Ukichukua masaa 24 ukagawa kwa 3 unapata masaa 8
Tuchukulie unaingia kazini saa 2 n kutoka saa 10, hapo umetumia masaa 8, Ukilala kitaalamu kabisa utalala masaa 8... swali linakuja masaa 8 yaliyobaki huwa unafanya nini?
Ukiwaza kwa undani zaidi utagundua kwamba Walioajiriwa wengi kama wanatumia masaa 8 kazini, na 8 kulala, Je masaa 8 huwa wanayapeleka wapi?
Wanafunzi wa vyuo mara nyingi ukikuta vipindi vimebana siku hiyo watatumia masaa 8 vipindi vinne vyenye masaa 2
Kama mwanafunzi huyu wa chuo atalala masaa 8, mana yake anabakiwa na masaa 8 YA KUPOTEZA.
Tafiti zinaonesha kwamba hayo masaa 8, ndiyo yanayotengeneza MASKINI WENGI.
Na hayo masaa ndiyo yanatengeneza MATAJIRI WENGI.
Waajiriwa waliofunguka akili, hutumia muda wao wa ziada kufanya kazi mbadala za kuwaongezea KIPATO. Mfano: Kuna mtu namfahamu alikuwa anaingiza Millioni 30M Kila mwezi ndani ya kampuni ya fulani kwa kufanya network marketing, na bado ameajiriwa na anatumia muda wake wa ziada.
Nawafahamu wanafunzi wengi wa vyuo wanaofanya kazi za kujiongezea kipato kwa muda wao wa ziada.
Leo katika uzi huu, jiulize je huwa unatumiaje masaa yako 8?....
Tukutane kwenye nyuzi zingine, Tukiendelea kipengele cha nidhamu ya fedha.
----------------------------------