Tofauti kati ya Tanzania na China kiuongozi

Tofauti kati ya Tanzania na China kiuongozi

TPP

JF-Expert Member
Joined
Mar 18, 2023
Posts
650
Reaction score
783
Ili taifa liendelee lahitaji wananchi na viongozi kuheshimu na kuziogopa sheria na wala sio kinyume chake" sheria kuogopa kundi fulani la watu(watawala )

Former security chief
Screenshot_20230330-014935.jpg


China ex-railway minister
Screenshot_20230330-014857.jpg


China's former justice minister
Screenshot_20230330-014556.jpg
 
Ila wachina wamejipika sana kwenye trust. Unaweza agiza ata mzigo wa gharama na wakahakikisha unakufikia na sio kona kona za kiswahili akisikia huko mkoani unaangiza kitu kwake dar.

Ana subiri utume pesa ule block. Na vitisho juu kashitaki unapotaka
 
Graph ya China
ac8081db55c7486ab241429d9b56ab99.jpeg
 
Back
Top Bottom