Ili taifa liendelee lahitaji wananchi na viongozi kuheshimu na kuziogopa sheria na wala sio kinyume chake" sheria kuogopa kundi fulani la watu(watawala )
Ila wachina wamejipika sana kwenye trust. Unaweza agiza ata mzigo wa gharama na wakahakikisha unakufikia na sio kona kona za kiswahili akisikia huko mkoani unaangiza kitu kwake dar.
Ana subiri utume pesa ule block. Na vitisho juu kashitaki unapotaka