Tofauti kati ya Tozo na Kodi ni nini?

Tofauti kati ya Tozo na Kodi ni nini?

tozo ni pesa inakatwa kwa jambo flani na pesa inayopatika inatumika kuliwezesha jambo lenyewe na inakoma soon tu baada ya jambo lenyewe kuisha , kwa mfano umeanzisha soko la kuuza nafaka , hapo sokoni pana watu watakao fanya usafi ,walinzi nk so unamtoza mfanyabiashara kwa lengo la kuwalipa hao wafanyakazi wa usafi na walinzi , kodi ni broader term , lakini tanzania linatumika tofauti na maana yake ( nilisoma sheria na kulipa ada so siwezi endelea kutoa maelekezo wakati silipwi
 
Back
Top Bottom