mjingamimi
JF-Expert Member
- Aug 3, 2015
- 42,209
- 51,004
Mange anamtaka diamondmange anamchukia zari balaa yani hata zari afanyeje hawezi kumsifia alifiwa na x wake mange akachamba akafiwa na mama yake bado mange akamchamba diamond kamcheat bado anamchamba Leo ndo atamwacha
Hata mm nilikuwa na wasiwasi huo mkuu[emoji15]Mkuu wewe ni dume??[emoji32][emoji32][emoji32]
Bado mnamdhalilisha mondi mkijidai mnamteteaMange anamtaka diamond
[emoji1] [emoji1] [emoji1] itakua duller square huyuuMkuu wewe ni dume??[emoji32][emoji32][emoji32]
YAMETIMIA KICHAA!!Mange ni mwanamke kichaa, bado mda ufike aanze kutembea bila nguo
Ameniblock sekunde chache baada ya kumshairi. Halafu anajiita mwanaharakat wa free speechUngejadili huko huko insta mkuu
HUKU JF SI HUWA ANATUPIA JICHOAmeniblock sekunde chache baada ya kumshairi. Halafu anajiita mwanaharakat wa free speech
Mkuu we ni me o ke?Anadhingua thana Da Mange