Omary Ndama
JF-Expert Member
- Apr 16, 2017
- 3,367
- 4,067
Asante kaka Dai[emoji23]sawa da mange
Madume ya Dar yanazingua!😀😀😀😀😀😀😱😀
We nae mkomee mange
Mropokaji na asiyejitambuaTuachie mange wetu
Mropokaji na asiyejitambuaTuachie mange wetu
Hawez mwacha ila ndo asijifananishe nae.
Nilikuwa navutiwa na harakati za Mange ila imefika sehemu nimeamua kumu-unfollow maana hatred aliyo nayo juu ya watu flan flan ni too much nikaona atanipoison na mimi.Unajikuta unasoma post yake hadi unajuta kwa nn uliisoma.Too negative,too judgemental anaonekana alikuwaga anawabully wenzie tokea shuleni.Watu wa namna hii ni wa kukaa nao mbali mno
Kale kachawi hpo hakajazeeka katakua kanapaa na ungoSio sawa kumfananisha Zari na vitu vya ajabu
Kale kamwanamke kana wivu usio na mfano, kalianza uchuro kwenye Danube kwamba hakatoi kik sa sijui zari anahitaji kik gani kwa mange, baada ya mapokezi yenye kiwango cha lami kamekuja na ishu ya mikoba fake, kwani mkoba fake haubebi vitu, roho mbaya ndio maana hakafanikiwi kameuza nguo, kamefungua app vyote hola, baba keanu nae akapunguza matumizi ndo akakachanganya make kanategemea hiyo child support
kweli roho ya hivo ni ya kichawiKale kachawi hpo hakajazeeka katakua kanapaa na ungo