Tofauti kati ya Zari na Mange kimambi

Kama mnajiamini na mnachokiongea tumieni majina halis ndio mumnange Hon
Mange Kimambi. Halafu kesho yake tukawasome vizuri kwa page ya Hon. Mange Kimambi.
 
Tuulize wambea wa zamani tukwambie Mange ni nani, alishawahi m-bully mwanamama mmoja hadi alifanya majaribio yakujiua akaokolewa heheh [emoji23]. Sio mtu yule, ila kwa sasa anafaida kwa makamanda.
 
Tuulize wambea wa zamani tukwambie Mange ni nani, alishawahi m-bully mwanamama mmoja hadi alifanya majaribio yakujiua akaokolewa heheh [emoji23]. Sio mtu yule, ila kwa sasa anafaida kwa makamanda.
Nilimsomaga sana Uturn nikaja nikaacha.Nikamfollow inst nikafika sehemu nikaona too much kubully watu.Hapana aisee..anainflict chuki kwenye vichwa vya watu na kubully anakuweza haswaaa..
 
kumbe unamkubali Mange sio
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…