Tofauti kubwa ya Ally Kiba na Diamond hii hapa

jamani haya mambo hayajaanza leo s
wala jana
ila mwanzo tulikua hatuna access ya net miaka iliyopita inspector vs juma nature
east coast vs tmk
wanaume family vs wanaume halisi
o ten vs afande sele
cha msingi wafuasi mpunguze jazba hapa
 
Zama zako zikipita basi tenaaa,kiba ushatoka kwenye reli mkuuuu pole yakoooo
 

Hebu rudi shule kwanza ukajifunze maana ya maneno haya Help, support na save.
 
Mashabiki wa ndomo safari hii inabidi muwe wapole sana.
Manake hakuna jinsi msanii wenu ameshachuja machoni pa watanzania na watanzania ninavyowafahamu wakikuangusha wamekuangusha.
Kilichotokea pale leaders hata davido mwenyewe haamini macho yake.
 
ndo mjue kwamba diamond na kiba hawana bifu..tatizo ni nyie mashabik mav..kutupigia kelele humu jf..

ni kweli kabisa............

maana hata Matola hii mada umei present kishabiki
 
Last edited by a moderator:


Word ! Additional Maisha ya Watanzania wa sasa bila Unafiki hayaendi ....Tubadilike Jamani tuache kukenuliana Meno ilihali Ndani tunaumwa kijiba cha Roho !
 
Mashabiki wa ndomo safari hii inabidi muwe wapole sana.
Manake hakuna jinsi msanii wenu ameshachuja machoni pa watanzania na watanzania ninavyowafahamu wakikuangusha wamekuangusha.
Kilichotokea pale leaders hata davido mwenyewe haamini macho yake.

Ndugu sema baadhi ya Nyie Watanzania usiisemee Mioyo yetu Babu we ! Jina lako linaonyesha wewe ni Mtanzania wa aina gani ? Pia wewe Mbinafsi na Unakijiba cha roho toka 2012 hata hujawapa wenzio Like !
 
Ndugu sema baadhi ya Nyie Watanzania usiisemee Mioyo yetu Babu we ! Jina lako linaonyesha wewe ni Mtanzania wa aina gani ? Pia wewe Mbinafsi na Unakijiba cha roho toka 2012 hata hujawapa wenzio Like !
hahahaaaaaaa Nyasamaki umenichekesha sana LOL
 
Last edited by a moderator:
ni kweli kabisa............

maana hata Matola hii mada umei present kishabiki

Mpwa ni jinai kumshabikia Kiba? Refer to my thread Banana Zoro rudi kwenye muziki tumechoka na kelele za Diamond.

Yes ni kweli tumechoka backup anayopewa leo Ally Kiba msije mkajidanganya labda na sisi wote ni wapenzi wa wabana pua hapana, bali tumechoshwa na kelele za pro Diamond na kwenye vita vya haki ushindi ni lazima wapenda haki huwa tukiamuwa kusimama na mtu mkiwa huwa tunaonesha nguvu ya umma ni nini.

Ukitaka kunisoma vyema waulize
Clouds tuliwafanya nini pale walipohujumu tamasha la Sugu na Vinega na concert ya Jide pale nyumbani Lounge.

Sasa wapenda haki kupiga kelele na diamond hatuwezi bali ni kutuma clear msg kwamba heshima ni kitu cha bure

Mimi kiasilia ni mpenzi wa hiphop na Mr 2 Sugu ndio ninayemuelewa anachoimba kama alivyokuwa 2pac Shakur na wapili ni hawa Nako 2 Nako sijui ndio wanajiita weusi sasa hivi, hiyo style ya mziki niupendao na musiki wa dance live band.
 
Last edited by a moderator:

Wewe huwa humpendi Diamond........ huwezi kusema vile anaimba ni kelele

Ungesema BANANA RUDI KWENYE MUZIKI, hakukuwa na haja ya kumuweka Diamond

hao unaowasema ni kama wanafunzi wenye miandiko mizuri ila hawana akili darasani

halafu unasema "tumechoka' umechoka wewe na nani Mpwa?????????
 
Hebu rudi shule kwanza ukajifunze maana ya maneno haya Help, support na save.
Matola bhana... shida yote hiyo ya nini wakati wewe ushabukua? Yaani nirudi shule kujifunza maana ya hayo maneno tu? Kwanini usiweke hapa... hilo moja nimeshindwa kulifahamu bado unaniongezea zigo lingine? Kuna hili lingine nimemsikia Kiba akimweleza Sporah "mimi ndie nimem-release Diamond....!" Ni nini hiyo maana yake kwa kiswahili kisicho na kizungu ndani yake?
 

Mpwa kazi ya kumpenda Diamond ni ya Wema Sepetu siyo ya kwangu.

Unapouliza nimechoka mimi nani ina maana hukuona kilichotokea kwenye Fiesta? Ule ni umma uliochoshwa.
 
We mtoto mi ndo maana nakupendaga... mineno yako mifuuupi lakini mibusara kibao... hukasiriki wala ku-panic... niliona cku moja tu ukiwa umekuja juu; nikajua watakuwa wamevuka mipaka tu hao! Si nikatamani kununua kesi... akili za kiutu uzima zikaniambia "come down...!"
 

unajuwa kulikuwa na kabend ka msimu kanaitwa TOT Plus kaliota mapembe kwa sababu walikuwa wamemchukuwa Banza stone wakaota mapembe wakataka mpambano na Twanga Pepeta.

Kilichotokea ilikuwa ni aibu kwa TOT Plus na Banza Stone na kuanzia hapo Ally Choki aliijuwa rasmi thamani yake.

Naona na hawa wabana puwa ili tukate mzizi wa fitina inabidi waandaliwe mpambano wa nani zaidi ili tumalize haya mapovu.
 
Mpwa kazi ya kumpenda Diamond ni ya Wema Sepetu siyo ya kwangu.

Unapouliza nimechoka mimi nani ina maana hukuona kilichotokea kwenye Fiesta? Ule ni umma uliochoshwa.

Na kazi ya kumpenda kiba ni ya demu wake si ndio eeee
 

Unaona sasa? Ili ufurahi ungependa kila mtu awe pro Domo hicho kitu sahau kabisa, huyo tutusa wenu Domo zingekuwa zinamtosha ushauri wa kumpa Wema angempa kitandani na siyo Instagram leo zile ndimu zinawahusu nunuweni kwa wingi mtengeneze juice.
 

NasDaz kauli ya Somji Juma hatuwezi kuitumia kama conclusion ya mada iliyopo mezani. Kwa sababu yeye ni mmoja kati ya wengi wanaopaza sauti zao hapa jamvini.

Mashabiki wanapo zomea ni njia mojawapo ya kuonyesha kuna kitu fulani ambacho hakipo sawa. Au kimekuwa ni kinyume na matarajio yao.

Ndiyo maana wasanii wakomavu huwa wanatoa press release ktk matukio kama haya. Especially kuomba msamaha mashabiki wao. Kwa kuwa wanajua watakuwa wameumia nafsi zao. Na wakati mwingine tukio linaloongelewa halihusiani kabisa na fani ya msanii.

Nitakupa mifano kama mitatu. R Kelly alipofikishwa mahakamani kwa kosa la kujihusisha kimapenzi na Aaliyha. Mashabiki wake walichukia sana kwa sababu Aaliyha alikuwa bado hajatimiza umri wa miaka 18!! Hili halihusiani kabisa na muziki. Ni maisha yake private. Lakini watu walisusa kununua kazi zake na hata albamu zake alizotoa baada ya tukio lile hazikupata support kubwa. Kifupi zili flop!!!

Tiger Woods aliopokamatwa ugoni na mkewe. Kitu cha kwanza aliomba msamaha mashabiki wake kwa kuwakosea. Hujiulizi hili lina uhusiano gani na golf? Kilichofuata pale ni nini? Tiger Woods alishuka toka No.1 mpaka sijui No.7 na imemchukua miaka kadhaa kurudi tena ktk top positions.

John Terry (Captain wa Chelsea na England Football Team) alipokumbwa na kashfa ya kutembea na mke wa mchezaji mwenzake. Mashabiki sio tu walimzomea kila alipoingia uwanjani bali walipaza sauti ya kuwa hafai kuongoza kikosi cha England kwa sababu ya maadili. Na kweli alivuliwa ukepteni akapewa Rio Ferdinand!!!

Michael Jackson alipokumbwa na kashfa ya kunajisi mtoto mdogo. Ndo ulikuwa mwanzo wa anguko lake la kimuziki. Ule msongo aliopata ulimpelekea kujiingiza ktk matumizi ya madawa hadi kifo chake. Management yake ilikanusha lakini pia iliwaomba msamaha mashabiki kwa kuwaumiza mioyo yao!!!

Nimetoa mifano hiyo michache kwa nini?? Ninataka kukuonyesha kuwa watu wakishakukupenda sana. Inabidi uangalie muenendo wa wa maisha yako. Ndiyo maisha ni yako lakini yana athari kubwa kwa wapenzi wako. Especially matamshi yako. Ukiwa Star wewe ni watu. So chochote utakachofanya kinyume na matarajio yao, ujiandae...

Ndo maana halisi ya kioo cha jamii. Watu wanakuangalia wewe kama mfano. Sasa kama wewe ni mjivuni/malaya,mlevi n.k sidhani wewe uta fit hiyo role ya kioo cha jamii.

Kuna mifano mingi hapa nyumbani nikupe mmojawapo. Unamkumbuka yule dada wa African Stars mnenguaji mahiri ambaye watu walimpenda sana? Alipoanza vituko vya madawa ya kulevya na picha za utupu sijui. Watu walimchukia na wala hawakuwa na huruma naye. Angeweza kusema ni chuki kwa mafanikio aliyoyapata ktk fani.Kwa nini?!! Kwa sababu ukishapendwa na watu wanategemea wewe utajiheshimu au you behave in a certain way. Kwani kuna watoto wao wanakuangalia wewe kama kioo...

Nadhani umenielewa na wengine wote wenye mtazamo kama wako. Tusikimbilie majibu mepesi kama wivu,husda,chuki nk.
 
Last edited by a moderator:
Haya mambo ya band bhana mi cjui kabisa ingawaje nakubali kwamba kwenye band ndiko waliko wanamuziki na huku kwingine ni waimbaji... mimi mwenyewe nishawahi kuimba na ku-rap... c unajua sie tuliobalehe in early 1990's ilikuwa ni lazima u-rap kwanza kama ukitaka kung'oa totoz za kishua!!?? Leo hii tukirudi back 1970's kiteknolojia, wala sioni nani atabaki kwenye game... labda Banana!
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…