DaudiAiko
JF-Expert Member
- Dec 2, 2012
- 372
- 310
Wanabodi,
Takwimu mbalimbali zinaonyesha jinsi ambavyo uchumi wa Tanzania umekuwa ukibadilika.
Ingawa njia hii inaweza isielezee kwa uhalisia kinachojiri kwenye nchi tofauti, GDP bado ina angaliwa sana kwenye masuala haya ya uchumi.
Kwa Tanzania, GDP imekuwa ikiongezeka kwa asilimia fulani kila mwaka lakini kwa bahati mbaya mafinikio haya ya serikali hayaja onekana sana kwa wananchi.
Je, kuna njia zipi zinazoweza kutumiwa kuhakikisha kwamba matunda ya kazi nzuri inayofanywa na serikali yanawafikia wananchi?.
Endapo Tanzania ikiweza kuwa nchi ya kipato cha juu, tutegemee kitu kipi cha ziada kinachoweza kumkwamua mwananchi mwenye kipato cha chini mpaka awe na kipato cha juu?
Je, kujikwamua kiuchumi kuna maanisha kutumia nguvu zako mwenyewe?
Je, kugawa fedha moja kwa moja kwa wananchi kunaweza kusababisha madhara yapi?
Labda kuwa wezesha wananchi kujiajiri wenyewe, labda kuboresha kilimo.
Nini maoni yako?
Takwimu mbalimbali zinaonyesha jinsi ambavyo uchumi wa Tanzania umekuwa ukibadilika.
Ingawa njia hii inaweza isielezee kwa uhalisia kinachojiri kwenye nchi tofauti, GDP bado ina angaliwa sana kwenye masuala haya ya uchumi.
Kwa Tanzania, GDP imekuwa ikiongezeka kwa asilimia fulani kila mwaka lakini kwa bahati mbaya mafinikio haya ya serikali hayaja onekana sana kwa wananchi.
Je, kuna njia zipi zinazoweza kutumiwa kuhakikisha kwamba matunda ya kazi nzuri inayofanywa na serikali yanawafikia wananchi?.
Endapo Tanzania ikiweza kuwa nchi ya kipato cha juu, tutegemee kitu kipi cha ziada kinachoweza kumkwamua mwananchi mwenye kipato cha chini mpaka awe na kipato cha juu?
Je, kujikwamua kiuchumi kuna maanisha kutumia nguvu zako mwenyewe?
Je, kugawa fedha moja kwa moja kwa wananchi kunaweza kusababisha madhara yapi?
Labda kuwa wezesha wananchi kujiajiri wenyewe, labda kuboresha kilimo.
Nini maoni yako?