Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Tofauti na tafsiri ya kula na kulishwa nyama ndotoni

Mshana siku za nyuma nikiwa nimelala usiku niliota mtu mwanaume ananiamsha usingizini akitaka nimfate nimsindikize mahali yaani ni kama hiyo sehemu anayoenda kuna jambo lake anataka akafanye basi kweli tukatoka lakin kimuujiiza nikashangaa tumeshafika Eneo la tukio lakini hilo eneo tuliofika muhusika alikua ni sheikh maana alikua akiishi Kando ya msikiti nakumbuka huu msikiti niliuona wakati nimesimama pembeni ya nyumba huku huyo alionitoa nimsindikize akiwa ameshika moto mkubwa mkononi akiwa anaizunguka ile nyumba ya yule sheikh akiwa anamwaga dawa na kunuia vitu.
Ghafla pale niliposimama nikamuona yule sheikh ameamka anakuja ile upande tuliopo Kwa kasi akiuliza nyie ni wa kina nani? Nikaanza kupiga kelele natetemeka naogopa ghafla yule baba niliekua nae akapotea nikabaki mwenyewe eneo la tukio nilivyoona yule sheikh ametaka kunikaribia akili ikanituma kimbia utaambiwa mchawi kweli nikaanza kukimbia lakin speed ya sheikh ilikua kubwa nikajikuta naomba Mungu huku nimesimama nimempa yule sheikh mgongo alipofika akanishika bega nikageuka ghafla sura yangu ikabadilika ikawa Ngumu kama jiwe yule sheikh akaniangalia usoni akashindwa kunitambua akaniachia nikaondoka niliondoka na ile sura ngumu kama jiwe.
Asubuh nashtuka naamka najiona tofauti naiona sura yangu inabadilika kutoka hali ya ugumu ya usiku kuja kwenye sura yangu ya kibinadamu ya kawaida.
Hii ilikua ni ndoto ama tukio halisi na ilikua na maana gani
 
Mshana siku za nyuma nikiwa nimelala usiku niliota mtu mwanaume ananiamsha usingizini akitaka nimfate nimsindikize mahali yaani ni kama hiyo sehemu anayoenda kuna jambo lake anataka akafanye basi kweli tukatoka lakin kimuujiiza nikashangaa tumeshafika Eneo la tukio lakini hilo eneo tuliofika muhusika alikua ni sheikh maana alikua akiishi Kando ya msikiti nakumbuka huu msikiti niliuona wakati nimesimama pembeni ya nyumba huku huyo alionitoa nimsindikize akiwa ameshika moto mkubwa mkononi akiwa anaizunguka ile nyumba ya yule sheikh akiwa anamwaga dawa na kunuia vitu.
Ghafla pale niliposimama nikamuona yule sheikh ameamka anakuja ile upande tuliopo Kwa kasi akiuliza nyie ni wa kina nani? Nikaanza kupiga kelele natetemeka naogopa ghafla yule baba niliekua nae akapotea nikabaki mwenyewe eneo la tukio nilivyoona yule sheikh ametaka kunikaribia akili ikanituma kimbia utaambiwa mchawi kweli nikaanza kukimbia lakin speed ya sheikh ilikua kubwa nikajikuta naomba Mungu huku nimesimama nimempa yule sheikh mgongo alipofika akanishika bega nikageuka ghafla sura yangu ikabadilika ikawa Ngumu kama jiwe yule sheikh akaniangalia usoni akashindwa kunitambua akaniachia nikaondoka niliondoka na ile sura ngumu kama jiwe.
Asubuh nashtuka naamka najiona tofauti naiona sura yangu inabadilika kutoka hali ya ugumu ya usiku kuja kwenye sura yangu ya kibinadamu ya kawaida.
Hii ilikua ni ndoto ama tukio halisi na ilikua na maana gani
Haikuwa ndoto bali tukio halisi la kishirikina na una nguvu kubwa kiroho ndio maana uliweza kupona toka kukamatwa na yule sheikh..kimsiingi ulipelekwa pale kama malighafi ya kafara na huyo mzee
 
Kama nitakua nje ya mada naomba nisamehe
Eti mshana , ndoto hii inamaana gani?
Nimeota nipo sehemu luxury na mtu aliyefariki ambae sikua na mahusiano nae
Hii inamaanisha nini?
 
Haikuwa ndoto bali tukio halisi la kishirikina na una nguvu kubwa kiroho ndio maana uliweza kupona toka kukamatwa na yule sheikh..kimsiingi ulipelekwa pale kama malighafi ya kafara na huyo mzee
Mshana Jr
Swali nje ya maada, mfano mtu anakua anaota anapaswa kufanya mtihani ambao kimsingi hajajiandaa yaan mtihani labda wa kidato cha 4 au 6,
Lakini huyu mtu tayari alishamaliza shule na chuo miaka imepita na kupita,
Nini maana ya ndoto hiyo?
 
Haikuwa ndoto bali tukio halisi la kishirikina na una nguvu kubwa kiroho ndio maana uliweza kupona toka kukamatwa na yule sheikh..kimsiingi ulipelekwa pale kama malighafi ya kafara na huyo mzee

Asante mshana umenifumbua macho
 
Kama nitakua nje ya mada naomba nisamehe
Eti mshana , ndoto hii inamaana gani?
Nimeota nipo sehemu luxury na mtu aliyefariki ambae sikua na mahusiano nae
Hii inamaanisha nini?
Kuna mbadala wa huyo mtu una connection naye kiroho ila kimwili bado hamjakubaliana
 
Mshana Jr
Swali nje ya maada, mfano mtu anakua anaota anapaswa kufanya mtihani ambao kimsingi hajajiandaa yaan mtihani labda wa kidato cha 4 au 6,
Lakini huyu mtu tayari alishamaliza shule na chuo miaka imepita na kupita,
Nini maana ya ndoto hiyo?
Ni changamoto za kimaisha kuna jambo linakupasa ulitimize lakini bado hujafanya hivyo ama kuna jambo tarajiwa litakujia kwa ghafla linakuhitaji ulitimize
 
Back
Top Bottom