Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Kuna wakati Kikwete alinukuliwa akisema kuwa, "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge".
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Kuna wakati Kikwete alinukuliwa akisema kuwa, "Ni bora Dr Slaa kuwa raisi kuliko Tundu Lissu kuwa mbunge".
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.