CCM BADO INAMTAJI WA WAJINGA KIBAOKabla ya uchaguzi tayari Tundu Lisu ana 50% ya kura za Watanzania waliojiandikisha. Kimsingi Tundu Lissu ni Rais Mteule anayesubiri kuapishwa. Hakuna Mtanzania mwenye akili timamu atakayempa kura Magufuli. Ameua uchumi na ameua binadamu
Mtanzania pekee aliyeweza kuiamsha Tanzania kutoka kwenye nusu-kaputi ya kisiasa!..Lissu angekuwa ni bondia basi style yake ingekuwa ni " switch hitter ."
..Yaani ni bondia anayeweza kupigana kwa mtindo wa "orthordox" na mtindo wa "southpaw."
..Orthordox ni bondia anayepigana kwa kutanguliza mkono wa kulia, na southpaw ni kushoto.
..kwa kawaida mabondia huwa ni orthodox au southpaw, ni nadra bondia kuweza kupigana kwa staili mchanganyiko.
..Lissu anaweza siasa za hoja, na ni mzuri pia ktk siasa za vijembe.
Hahahahaha subiri octobaHao waliompa kura 405 kwenye kamati kuu ya Chadema na wale maelfu waliojitokeza kumlaki pale airport ni wananchi wa nchi gani mama?
Hakunaga hiyo kitu hakiNo wonder huyu jamaa walimmiminia mvua ya risasi.
Jamaa hakamatiki kabisa kwenye uwanja wa hoja.
Naamini tume ikifanya haki CDM wanashinda asubuhi tuu.
Ipo ratiba ya kuruka kichura chura badala ya push-upsMwaka huu kuna ratiba ya kupiga deki barabara kwa mgombea?
Mkuu October tume ya uchaguzi itamtangaza Magu kuwa mshindi Kama ilivyofanya 2015 na Kama tume ya uchaguzi ya Malawi ilivyomtangaza APM ambaye Sasa anaongoza chama cha upinzani baada ya nguvu ya umma kumuweka kando.Mimi bado naamini watu tutatiwa Chachu na motisha na survival ya Lissu ambayo imetufanya watu wengi tuamini kwamba bila Mungu kupenda risasi haiui,bila Mungu kupenda hata corona haiui.sprit hiyo ndiyo itatuongoza kumng'oa yule aliyetangazwa na kubadiri kabisa hizi siasa uchwara zinazofanywa na CCM Tanzania.Mungu watie nguvu watanzania waiangalie nchi yao badala ya kumuangalia huyu mharibifu maguHahahahaha subiri octoba
Kiasi kwamba mgombea wa CCM tayari keshavurugwa, leo huko barabarani akielekea Dodoma hajaeleweka maneno aliyotamka, eti anamwuliza mwananchi we unataka upanuliwe wapi?😀Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Aangalie tu asije akamfuata BWM kwa kisingizio arrest sijui wakati ni pressure ya uchaguziKiasi kwamba mgombea wa CCM tayari keshavurugwa, leo huko barabarani akielekea Dodoma hajaeleweka maneno aliyotamka, eti anamwuliza mwananchi we unataka upanuliwe wapi?😀
Mbona wanamvumilia huyo mwingine shingo ikikakaa licha ya kutokuwa na hoja?Wananchi wa Tanzania hawawapendi wanaharakati. Watu wanaoongea huku mishipa yao ya shingo ikiwa imekakamaa.
..Lissu anaweza siasa za hoja, na ni mzuri pia ktk siasa za vijembe.
Ngoja nisubiri analysis za baada ya uchaguzi maana ndo huwa real,hizi za kabla huwa mzuka na mahaba zaidi.
HAPO UMENENA!
Khaa, eti Lissu ni genius. Lissu ni bwege zaidi ya Bwege wa KilwaLissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.