Gerald .M Magembe
JF-Expert Member
- Jul 17, 2013
- 2,496
- 1,800
Ngoja nisubiri analysis za baada ya uchaguzi maana ndo huwa real,hizi za kabla huwa mzuka na mahaba zaidi.
HAPO UMENENA!
Waliokwenda airport walikuwa wahuni na mateja bila kusahau walevi wa gongo na konyagi. Watanzania wazalendo tulikuwa msibani.Acha uongo mchana kweupe ... Watanzania hao hao unaowazungumzia hapa sindio hao hao walio kwenda kumpokea lissu AIRPORT alipokuwa anarudi toka Belgium !??
Hahaa ukiishiwa hoja bwana lazima uongee viroja ... Kwa hiyo katiba ya nchi inasema kuwa mateja na walevi wagongo sio watanzania !??Waliokwenda airport walikuwa wahuni na mateja bila kusahau walevi wa gongo na konyagi. Watanzania wazalendo tulikuwa msibani.
Lisu ni muongo muongo sana kama walivyo viongozi wengine wa Chadema, ktk ile list ya mafisadi waliyokuwa wanasimama nayo majukwaani lakini akalamba matapishi yake kumpokea mmoja wa " mafisadi" wale na kuanza kumnadi kwenye majukwaa ya kampeni 2015. Mleta mada nae ni mmoja ya waliodeki barabara kipindi kile leo anamtoa kasoro Yule Mzee punguzeni kigegeu na muwe na akiba ya maneno.Lissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Wewe sio mtanzania,una asili ya europe huko kwa mabeberu.Me ntampenda tu
Hili sio taifa la waleviHahaa ukiishiwa hoja bwana lazima uongee viroja ... Kwa hiyo katiba ya nchi inasema kuwa mateja na walevi wagongo sio watanzania !??
+1Mtanzania pekee aliyeweza kuiamsha Tanzania kutoka kwenye nusu-kaputi ya kisiasa!
Sikutegemea kuona siasa ya Tanzania inaweza kuchangamka ndani ya usiku mmoja tu.
Mchukie au Mpende lazima ukubali kwamba Tundu Lissu ana kitu cha pekee.
kwa tulipofikia hata kama hana sera za maendeleo wenye busara watamchagua , tunahitaji zaidi democracy kuliko maendeleo yenye ukakasiHapo ndipo TL anapo wapa watu msisimko na kumsikiliza kwa makini... Sio muoga na anajua kutetea hoja.
Lakini TL akumbuke ktk kampeni sio mahakamani yaani kwenda kuulizana na kujibishana...
Anatakiwa awe na hoja za maendeleo, atete vizuri sera ya chama chake, awape elimu ya kutosha raia khs mabadiliko...
Kuelezea mabaya ya ccm na ufisadi, Katiba mpya, tume huru hayo aweke mwisho... Watu wanashauku ya kujua nn atakifanya akiwa rais na kitamsaidia raia na taifa kwa ujumla.
Mkuu unamaanisha nini unaposema kushabikia siasa ???+1
sikutegemea kabisa kama ningekuja shabikia siasa tena , upinzani ulionekana kama umekufa ,
then ghafla bin vuu,tupo alive tena!!!
Unaamsha hasira mkuuPia Lissu ni mtu aliyefufuliwa na Mungu kutoka katika wafu ili aje aikomboe Tanzania , baada ya kushambuliwa na watu waoga walioshindwa siasa za hoja
View attachment 1527778
Ninakukubali sana MLMkuu unamaanisha nini unaposema kushabikia siasa ???
Hili ni suala la uhai wa taifa, tusilifanye dogo kabisa.
Lazima kila mzalendo ajitoe kunusuru taifa letu.
haha nimetumia kiswahili cha mtaa naelewa siasa ndo kila kitu , ila nilishakata tamaa kuifatilia, hasa kipindi kile cha wimbi la kuunga juhudi kwa madiwani na wabunge ,Mkuu unamaanisha nini unaposema kushabikia siasa ???
Hili ni suala la uhai wa taifa, tusilifanye dogo kabisa.
Lazima kila mzalendo ajitoe kunusuru taifa letu.
Isitujumuishe kwenye upumbavu na ulofa wenuWananchi wa Tanzania hawawapendi wanaharakati. Watu wanaoongea huku mishipa yao ya shingo ikiwa imekakamaa.
Bahati mbaya mko wengi humu JF tuMkuu October tume ya uchaguzi itamtangaza Magu kuwa mshindi Kama ilivyofanya 2015 na Kama tume ya uchaguzi ya Malawi ilivyomtangaza APM ambaye Sasa anaongoza chama cha upinzani baada ya nguvu ya umma kumuweka kando.Mimi bado naamini watu tutatiwa Chachu na motisha na survival ya Lissu ambayo imetufanya watu wengi tuamini kwamba bila Mungu kupenda risasi haiui,bila Mungu kupenda hata corona haiui.sprit hiyo ndiyo itatuongoza kumng'oa yule aliyetangazwa na kubadiri kabisa hizi siasa uchwara zinazofanywa na CCM Tanzania.Mungu watie nguvu watanzania waiangalie nchi yao badala ya kumuangalia huyu mharibifu magu
Kuna possibility kubwa mnoAangalie tu asije akamfuata BWM kwa kisingizio arrest sijui wakati ni pressure ya uchaguzi
Lissu Ni moto wa gesi haupoi hapa ni chakula kiive au kiungu mpishi lazima kuwa makini akisinzi amekwishaLissu na Lowassa ki utendaji, ki maadili, ki makuzi na ki umri ni watu wawili tofauti kabisa, Lowassa ana uwezo wa ukwasi Lissu ana uwezo wa akili 'genius'.
Lissu ni mwongeaji sio muoga, hana ukwasi lkn hana bei, anajiamini hasa eneo lake la kujidai la sheria tofauti na Lowassa, hivyo ana nafasi nzuri ya kum challenge na kumhoji mgombea wa CCM rais Magufuli kuliko Lowassa.
Lowassa ni mpole, mtu mzima, siyo mwongeaji kama Lissu yuko compromised, wakati wa kampeni alikuwa hawezi kusimama na kujieleza hata kwa dakika 15.
Lissu wakati anajieleza mbele ya wajumbe wa Chadema, alisema, yeye si yule wa kusema "Tunamwachia Mungu", aliongeza kusema akiibiwa kura yuko tayari kuwaingiza wananchi barabarani. Lowassa alikuwa muoga hata kutamka neno la kumuuzi mpinzani wake wala kumjibu msajili wa vyama.
Baada tu ya kuteuliwa kupeperusha bendera ya CHADEMA, kasema kitendo cha rais kupewa jogoo na kutoa laki moja kwa mpiga kura ni rushwa hivyo ataweka pingamizi kwa mgombea wa CCM. Hii ndiyo sura halisi ya yule anayekwenda kupambana mgombea wa CCM ambaye vyombo vyote vya dola viko chini yake.
Mwisho kabisa Lissu ana damu ya uanaharakati upinzani wa kuzaliwa tofauti na Lowassa aliyeingia upinzani baada ya kukosa alichotaka ndani ya CCM.
Tutegemee kampeni ya 'vijembe' hasa ukizingatia wagombea wote rais Magufuli na Lissu kwao neno kushindwa haliko kwenye vocabulary yao.
Lissu hahitaji deki mpigiwa deki yuko CCM.tukapige deki barabara au tukaushe kwanza