Nenda kwenye tawi la bank husika ukiwa na taarifa muhimu za account yako. Ni kazi ya dk 10 tu wanakua washamaliza kazi. Inaokoa sana sa a gharama hasa kwa sisi wafanyabiashara kwenye kufanya transfer.Nafanyaje kupata huduma ya internet banking
Nchi ya nyahuni hiiHii huduma mitandao inakata sh 100 tena bila kujali kama umefanikiwa kupata hiyo huduma au hujapata
Tumia application ya simbanking, nenda kwa wakala wote wanajuaJe, hii huduma ya Cardless Draw ikojee??
Na
Je, naweza kutoa hela kwa Wakala CRDB, bila kadi??
NB: kadi imepoteaa niko safarini
Sent using Jamii Forums mobile app
Kaandka hapo juu unachajiwa gharama ya kuangalia salioJe unapotoa kwenye ATM ukachua risiti, gharama zake zipoje?
Sijawahii kujiungaa na hii hudumaaTumia application ya simbanking, nenda kwa wakala wote wanajua
Nadhani hii ni makato ya mtandao wa simu husika.Basi, ni kwanini mtu ukatwe pesa hata kabla hujapata kufanya chaguo la huduma unayotaka?
Ukitaka kuangalia Salio NMB au huduma kupitia Menu ya *150*66# mpk uweke salio la 500 hii imekaaje na wkt ukituma hela bado wanakata tena inakuwaje?PATA ELIMU KIDOGO KUHUSU NMB & CRDB MAKATO
Maswali ya msingi kabla sijakuelezea makato
a) Kipi Bora kutoa hela kupitia kwa Wakala, ATM au Ndani ya benk (Over the counter)?
a) Kipi Bora kuangalia salio kupitia kwa Wakala, NMB mobile/CRDB Simbanking, ATM au Ndan ya benk (Over the counter) au internet Banking?
c) Kama umemaliza kutoa hela ATM je kuna haja ya Kuomba risiti ya Salio au uangalie kupitia Simbanking? Kipi bora?
d) Je ikienda kwa wakala kutoa hela zikagoma kutoka kwa sababu ya salio Dogo Wakala akakwambia akuangalizie salio, Je unajua ni kiasi gani wanakata pia ukiunganisha na kutoa utakatwa kiasi gani?
e) Je unaijua faida na hasara ya internet banking?
I. GHARAMA ZA KUANGALIA SALIO
Kwa njia ya :-
a) ATM NMB shs 360, CRDB shs 354/=
b) Simbanking NMB 400, CRDB 400/=
c) Kwa wakala NMB shs 2000, CRDB 2000/=
d) Teller/Over the counter NMB shs 400, CRDB 500/=
e) Internet banking NMB Free, CRDB Free
II. KUTOA HELA (CASH WITHDRAWALS )
a) ATM
i. shs 1000-20,000 NMB shs 1100, CRDB 1300/=
ii. shs 20,001-50,000 NMB shs 1200, CRDB 1300/=
iii. shs 50,001-100,000, NMB shs 1300, CRDB 1300/=
iv. shs 100,001-200,000, NMB shs 1400, CRDB 150,000-600,000 ni 1500/=
v. shs 200,001-400,000 NMB shs 1500, CRDB 1500/=
b) Kwa teller/Over the counter mfano kutoa 400,000/= utachajiwa 4000 CRDB, NMB 4000/=
c) Kwa Wakala
i. 10,000-19999 NMB shs 1200/=
ii. 20,000-49,999 NMB shs 1500/=
iii. 50,000-99,999 NMB shs 2200/=
iii. 100,000-199999 NMB shs 3500/=
iv. 200,000-399999 NMB shs 4500/=
v. 400,000-599999 NMB shs 6300/=
Kuna tabia hii watu wengi wanapenda kuifanya. Unaenda kwa wakala kutoa mathalan 400,000/= ktk akaunti yako kuna 405,000/= lazima hela itagoma, Wakala atakuuliza tuangalie salio? Ukijibu tu ndio ataangalia salio na ktk akaunti yako utakatwa 2000 kama ni CRDB na kama ni NMB utakatwa almost 1500 hapo atakwambia una Salio la shs 402,000/= basi itabidi utoe sh 397,000/=
Ndg yangu kama una huduma ya internet banking angalia salio lako free kisha mwambie kiasi cha kutoa.
Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free
Kwa wanachuo wanaokaa offcampus mathalan unataka kutoa 400,000/= ukitoa kwa wakala utakatwa 6300/= ila kwenye ATM ingekatwa 1500/= tu, unaonaje kama ungepanda haisi shs 200 chapu ukaenda ndan ukatoa na kurudi 200 ukawa umetumia gharama 1900/ kuliko kukatwa 6500/=?
Maisha ni budget, so do at your own Risk .
As received
*****+*****+*****+*****+*****+*****+
NMB lazima uweke 500 ndio hiyo Menu itafanya kaziKuna issue ya CRDB kama unataka kutumia simu banking, pale unapo-dial *150*03# wanakwambia Tsh 100 salio lako la muda wa maongezi likakatwa. Kwa nini mtu ujiunge simbanking, hata kabla ya kupata huduma unayotaka mfano; kuangalia salio etc. wanakata muda wa maongezi? Hili litazamwe pia.
Sio kuangalia Salio, unapotoa pesa si inakuuliza unahitaji risiti? Sasa unapotaka risiti unachajiwa?Kaandka hapo juu unachajiwa gharama ya kuangalia salio
Simbanking app ndio free?Simmbanking tumia app , siyo hizo ussd codes , ni kifo cha pesa.
Crdb kwenda nmb?Nenda kwenye tawi la bank husika ukiwa na taarifa muhimu za account yako. Ni kazi ya dk 10 tu wanakua washamaliza kazi. Inaokoa sana sa a gharama hasa kwa sisi wafanyabiashara kwenye kufanya transfer.
Mfano kufanya transfer kwa Internet banking kutoka CRDB - CRDB wanakata Tsh 826 tu hata kama utahamisha million 20.
Nenda kwenye tawi la bank husika ukiwa na taarifa muhimu za account yako. Ni kazi ya dk 10 tu wanakua washamaliza kazi. Inaokoa sana sa a gharama hasa kwa sisi wafanyabiashara kwenye kufanya transfer.
Mfano kufanya transfer kwa Internet banking kutoka CRDB - CRDB wanakata Tsh 826 tu hata kama utahamisha million 20.
Tofauti ni nini apo?Sim baking kwa kutumia App ya CRDB ni kitu tofauti na internet banking?
Tutoane ushamba kidogo nahisi nachanganya mambo hapa
Charges zipo""Pia kama umetoa hela ATM usiwe na tabia ya kuchukua risiti, angalia salio lako kupitia internet banking ni free""
Kwani Niko "request risit" Kuna charges??
#YNWA
Nahisi ni kitu kimojaSim baking kwa kutumia App ya CRDB ni kitu tofauti na internet banking?
Tutoane ushamba kidogo nahisi nachanganya mambo hapa