Tofauti ya kesi ya Mbowe na Sabaya

Tofauti ya kesi ya Mbowe na Sabaya

Kama utafatilia vizuri ukiwa huna upande wako ata kesi ya Sabaya niya kuchongwa kuainzia ile aliyohukumiwa 30 years mpaka inayoendelea sasa!

Hakuna ushahidi usioshaka ata mmoja atakama kuna mashahidi ila mashahidi wote ni vituko vitupu

Sent using Jamii Forums mobile app
Usijenge mahaba na majambazi.

Sabaya, yeye mwenye alikiri kosa, lakini akasema kuwa alikuwa ametumwa na Magufuli. Wewe ni nani hata useme kuwa eti alionewa?

Hivi hata hayo mambo ya kubaka, alikuwa anatumwa na Magufuli?
 
Back
Top Bottom