Tofauti ya kiongozi kuongea kwa dharau na kuongea kwa mamlaka

Tofauti ya kiongozi kuongea kwa dharau na kuongea kwa mamlaka

TumainiEl

JF-Expert Member
Joined
Jan 13, 2010
Posts
6,782
Reaction score
12,716
Nimeanzisha hii thread baada yakuona ipo haja kuwa alert leader kuwamakini pindi wanaongea na viongoz wenzao au wanaongea na jamii.

Kuwa kiongozi sio kuwa na akili au uwezo kuliko wengine hapana kuwa kiongozi ni kudra za mwenyezi Mungu na ndio maana kuongozi anaye lijuwa hili kamwe hawezi kunyanyasa watu au kudharau.

Kumekuwa na tone bungeni na sasa pia inasikika state. Hii tone haionyeshi mamlaka ya anaye itoa ila ina toa ishara ya dharau.

Sorry naomba kurudia hii tone ukiisikiliza vizuri
 
Daah Jamaa wanatudharau mno maana wanajua hatuna cha kuwafanya.
 
Nimeanzisha hii thread baada yakuona ipo haja kuwa alert leader kuwamakini pindi wanaongea na viongoz wenzao au wanaongea na jamii.

Kuwa kiongozi sio kuwa na akili au uwezo kuliko wengine hapana kuwa kiongozi ni kudra za mwenyezi Mungu na ndio maana kuongozi anaye lijuwa hili kamwe hawezi kunyanyasa watu au kudharau.

Kumekuwa na tone bungeni na sasa pia inasikika state. Hii tone haionyeshi mamlaka ya anaye itoa ila ina toa ishara ya dharau.

Sorry naomba kurudia hii tone ukiisikiliza vizuri
Ni hatari sn
 
Daah Jamaa wanatudharau mno maana wanajua hatuna cha kuwafanya.
Hii kauli ya ''hatuna cha kuwafanya'' ni potofu na ndiyo iliyofanya Tanzania iwe kama ilivyo sasa. Wananchi wana cha kuwafanya viongozi wao. Infact wananchi kama wanajitambua na kujua nguvu yao hakuna kiongozi yeyote atakayethubutu kuleta dharau. Nchi ili iendelee, inahitaji kuwa na wananchi wenye uelewa na ujasiri wa kuwafanya chochote viongozi wao, kwa mujibu wa sheria zilizowekwa na wananchi wenyewe.
 
Hii kauli ya ''hatuna cha kuwafanya'' ni potofu na ndiyo iliyofanya Tanzania iwe kama ilivyo sasa. Wananchi wana cha kuwafanya viongozi wao. Infact wananchi kama wanajitambua na kujua nguvu yao hakuna kiongozi yeyote atakayethubutu kuleta dharau. Nchi ili iendelee, inahitaji kuwa na wananchi wenye uelewa na ujasiri wa kuwafanya chochote viongozi wao, kwa mujibu wa sheria zilizowekwa na wananchi wenyewe.
Mfumo wa elimu ni mbovu sn tunafundishwa kuwa waoga badala ya kuwa majasiri
 
Hulka ya mwafrika akiwa kiongozi fulani,lazima afoke

Ova
 
Kuna wachache wanaodhamiria na wengine, masikini ya Mungu, wanateleza ulimi kwa kutaka kufurahisha!
... TUWASAMEHE BURE!
 
Nimeanzisha hii thread baada yakuona ipo haja kuwa alert leader kuwamakini pindi wanaongea na viongoz wenzao au wanaongea na jamii.

Kuwa kiongozi sio kuwa na akili au uwezo kuliko wengine hapana kuwa kiongozi ni kudra za mwenyezi Mungu na ndio maana kuongozi anaye lijuwa hili kamwe hawezi kunyanyasa watu au kudharau.

Kumekuwa na tone bungeni na sasa pia inasikika state. Hii tone haionyeshi mamlaka ya anaye itoa ila ina toa ishara ya dharau.

Sorry naomba kurudia hii tone ukiisikiliza vizuri
Hii thread imfikie Mwigulu nchemba...
 
Nimeanzisha hii thread baada yakuona ipo haja kuwa alert leader kuwamakini pindi wanaongea na viongoz wenzao au wanaongea na jamii.

Kuwa kiongozi sio kuwa na akili au uwezo kuliko wengine hapana kuwa kiongozi ni kudra za mwenyezi Mungu na ndio maana kuongozi anaye lijuwa hili kamwe hawezi kunyanyasa watu au kudharau.

Kumekuwa na tone bungeni na sasa pia inasikika state. Hii tone haionyeshi mamlaka ya anaye itoa ila ina toa ishara ya dharau.

Sorry naomba kurudia hii tone ukiisikiliza vizuri
Weka tone tuisikie ndo tuchangie Uzi.
 
Back
Top Bottom