Tofauti ya kuingiza pesa kati ya tajiri na masikini

Huu ni uzi bora kwa mwaka 2021.
 
Pia ifike mahala kuingiza milioni 1 kwa siku ionekane ni kitu cha kawaida, iruhusu akili yako ikubali kwamba hilo linawezekana bila ukakasi, huwa nashangaa nikiwaambia watu kuwa mil.1 ni pesa ya kuingiza kwa siku huwa wanashtuka mno, nadhani ni tatizo la kisaikolojia zaidi
 
Spider web unaijengaje bila pesa kwa mfano!!!??

Uwekezaji unahitaji mtaji. Ninani asiyetaka kuwa kuwa na spider web!!....
Tuanzie hapo.
Mtaji wako ni ubongo wako, usidanganyike na kingine chochote, labda uwe taahira ndio tutasema huna mtaji. Au kama unataka kuwa masikini ndio tutasema mtaji wako ni nguvu zako mwenyewe. Ila nikupe hint ya mafiga matatu ya utajiri katika kizazi hiki cha sasa. 1.) IG 2.) FB 3.) WSAP
 
FACT jenga kwanza mitego yako wala hutahangaika na CV mkononi kutafuta kuajiriwa serikalini ambako tija yake haipo, walioshtuka wamejiajiri na wanapiga mishe zao kama kawaida bila bugudha, wanaosubiri kuajiriwa na teuzi ndio wabishiiii, hata wakipewa madini ya namna gani hawakubali kwakua akili zao zimeganda, huwezi kuishi kwa kutegemea ajira ambazo hazipo na hata kama zipo Niambie Mfanyakazi wa Serikali ambaye ni Bilionea yuko wapi hata kama alikua mwiziiiiiii
 
Forex sio
 
Kila mtu akijiajiri nani atanunua bidhaa au huduma kwa mwenziwe!?
 
Ndiyo yeye!! Muambie akuonyeshe spider web yake kama hajazama uvunguni,hata hivyo ana vimaneno vitamu,atakuwa alifuzu vizuri ile kozi wanayopewaga ya kusaundisha malofa
[emoji16][emoji16][emoji16][emoji16][emoji16] we jamaa shenzi sana.
 
"..Wengi tutapinga kwakuwa tunapenda kuyafanya yale tuliyoshindwa kuwa uhalisia wa kila mtu.." kesho asbuhi mapema sana niko Benk na hii sentence kuchukua mkopo.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…