Hujibu maswali kazi kurukaruka tuuMungu Si mtu aseme uongo, Wala Si mwanadamu ajute,
Akisema neno hatalitimiza?
Hili ndo janga la kwanza kutokea?Rudia kusoma!
Mbona nimekujibu,Hujibu maswali kazi kurukaruka tuu
Hii ndio KAZI yangu,Tafuta kazi ya kufanya mkuu
Tuchukulie yeye hakuwepo Sodoma na Gomora, je Hollywood ni kiwanda cha picha za ngono au hapana. Je yanampendeza MUNGU na wastaarabu ?Ulikuwepo wakati wa Sodoma na Gomora ili uje utupe ulinganifu?
Picha za ngono zinatengenezwa Hollywood tuu?Tuchukulie yeye hakuwepo Sodoma na Gomora, je Hollywood ni kiwanda cha picha za ngono au hapana. Je yanampendeza MUNGU na wastaarabu ?
Popote panapochafua utukufu wa MUNGU atapiga tuPicha za ngono zinatengenezwa Hollywood tuu?
Bc sema hata Israel wanachafua utukufu wa Mungu mana huko napo miaka yote wanapigana tuuPopote panapochafua utukufu wa MUNGU atapiga tu
Na tel aviv ongezea hapoUkimaliza utuambie na tofauti ya Sodoma na Dar na Zanzibar na kwa nini hazijachomwa moto na huyohuyo
Bima hawalipi fidia hasara iliyoletwa na Majanga ya asili..Bima wameona HASARA hiyo hailipiki, wameingiza mitini.
Inabidi ssh apeleke misaada kdg huko Kwa matajiri.