Tigershark
JF-Expert Member
- Oct 9, 2018
- 7,051
- 12,566
Sasa kusomba watoto na kuwavishwa madera ya watu wazima,ccm imejaa wapumbavu kama wewe na wenzako wengi.Tuwaonee huruma chadema walikosea mgombea watanzania wanajua ni kuwadi wa mabeberu
Si mpaka wakuelewe sasa mkuu,sasa kama watu wa ccm ndio wanahudhuria kampeni za ccm..kuna haja gani ya ccm kupiga kampeni?
Kuna siku nitakuja nikutukane tu. Hivi huwezi kupost thread bila kuitaja chadema? Kwani chadema ilikupa mimba kisha ikakuambia uitoe?Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Huu ndio ushahidi mkubwa kuwa wanaohudhuria mikutano ya ccm huwa wameandaliwa jana yake na kuvishwa jezi na kupewa amri wapande malori yaliyoandaliwa bila kukosa.Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
So what??!!Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Mimi mwenyewe nina CCM jersey lakini sitapigia kura CCM kwani Ni wabaguziUkitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja
Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani
Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu
Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Story ni kuwavalisha watoto tshirt kama madera,naskia pumzi imepungua kaweka kambi kilimani
Story ni kuwavalisha watoto tshirt kama madera,naskia pumzi imepungua kaweka kambi kilimaniView attachment 1566851
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.
Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.
Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.
Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.
Tathimini yako haiko sawa:Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.
Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.
Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.
Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.
umeliona nyomi la lissu huko Dodoma?Hamna cha hongo ya aina yoyote lakini nyomi lake sasa
Mara nyingi sifa za hivi utolewa kwa marehemu na hauwezi kubishana na mtoa wasifu wa marehemu.Ma-ccm Mungu Anawaona Kutuambia Kuwa Mgombea Wenu Ni Mpole na Msikivu Na Mnyenyekevu. Mmetukosea Sana Sisi WananChi Hasa Wabukoba na Mtwara.
Kwa kweli sisi wananchi tunaojitambua Tumehuzunishwa Sana kwa Slow slow kuudanganya Uuma!! Eti! Meko ni mpole na Msikivu ,kama hizo sifa ni za kweli basi Asingetukashifu sisi WanaNchi Wa BUKOBA Pindi tulipo Patwa na Majanga
Badala yake Meko anatuambia SERIKARI yake haikureta tetemeko.
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.
Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.
Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.
Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.
CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.