Uchaguzi 2020 Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA hakuna

Uchaguzi 2020 Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA hakuna

Kodi zetu zinatumika vibaya!Nimeona pia gari za ikulu zimepakwa rangi ya kijani na zinatumika kwenye msafara wa Magufuli!
Kwa ambao hamjaziona,hizi ni zile zenye kioo kidogo katikati nyuma ya kioo cha dereva!Gari hizi ziliachwa na Bush alipotembelea Tanzania na akaziacha kama Zawadi kwa serikali!
 
Tuwaonee huruma chadema walikosea mgombea watanzania wanajua ni kuwadi wa mabeberu
Sasa kusomba watoto na kuwavishwa madera ya watu wazima,ccm imejaa wapumbavu kama wewe na wenzako wengi.
Awamu hii ccm wajinga ndio washauri wa meko....cdm inawapeleka mperampera mpka mmepumzika kilimani
IMG_20200909_205343.jpeg
 
sasa kama watu wa ccm ndio wanahudhuria kampeni za ccm..kuna haja gani ya ccm kupiga kampeni?
Si mpaka wakuelewe sasa mkuu,

Kama maprofesa wa chama wameokotwa jalalani, unadhani akina Lusinde wametolewa wapi..
Sidhani kama wanaweza kukuelewa.
 
1599853342322.png


hii combination imeshindwa kuitoa ccm sasa sjui mnaleta story gan saahav
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Kuna siku nitakuja nikutukane tu. Hivi huwezi kupost thread bila kuitaja chadema? Kwani chadema ilikupa mimba kisha ikakuambia uitoe?
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Huu ndio ushahidi mkubwa kuwa wanaohudhuria mikutano ya ccm huwa wameandaliwa jana yake na kuvishwa jezi na kupewa amri wapande malori yaliyoandaliwa bila kukosa.
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
So what??!!
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani n.a. timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja

Tofauti ya mikutano ya CCM na Chadema ni kuwa CCM inahudhiriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM Chadema wanaohudhuria ni wasiojulikana ni Chama gani

Huoni zile tshirt za Chadema ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lisu

Kwa mtizimo ukitizama picha zote za mikutano ya Chadema wavaa Tshirt za Chadema ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia
Mimi mwenyewe nina CCM jersey lakini sitapigia kura CCM kwani Ni wabaguzi
 
Show bila kiingilia hata Mimi nisiyependa muziki nitakuja kuangalia mauno
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.

Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.

Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.

Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.

Hao wanachama wenu wako wangapi nchi nzima wanaoamuwa nani awe Rais wa nchi ni walio wengi ambao hawana vyama na ndiyo walengwa wanachama tayari wana mapenzi na chama wanasikiliza sera ili wafanyeje na ndiyo wanachama wenu. Sera zinauzwa kwa wananchi wasiowanachama ndiyo CDM wanaowatafuta hao
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.

Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.

Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.

Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.
Tathimini yako haiko sawa:
1. Kutengeneza sare kunahitaji pesa ambazo cdm haina.

2. Waliovaa sare inawezekana waliletwa kwenye mkutano toka sehemu nyingine kabisa. Hivyo huwezi kusafirisha ambae si mwanachama.
 
Ma-ccm Mungu Anawaona Kutuambia Kuwa Mgombea Wenu Ni Mpole na Msikivu Na Mnyenyekevu. Mmetukosea Sana Sisi WananChi Hasa Wabukoba na Mtwara.

Kwa kweli sisi wananchi tunaojitambua Tumehuzunishwa Sana kwa Slow slow kuudanganya Uuma!! Eti! Meko ni mpole na Msikivu ,kama hizo sifa ni za kweli basi Asingetukashifu sisi WanaNchi Wa BUKOBA Pindi tulipo Patwa na Majanga

Badala yake Meko anatuambia SERIKARI yake haikureta tetemeko.
 
Naomba kujua jumla ama mgawanyo wa wananchi wapiga kura..wanachana n idadi yao na wasio wanachama...
Ukitaka kujua chama chako sio cha wanachama tu ni mbinu ipi itakusaidia kujua kuwa unakubalika na kwa wasio wanachama...
Kisha njoo na hitimisho utuonyeshe kwa vigezo vyako nani anakubalika vizuri kwa idadi ya wapigakura kwa makundi yote
 
Ma-ccm Mungu Anawaona Kutuambia Kuwa Mgombea Wenu Ni Mpole na Msikivu Na Mnyenyekevu. Mmetukosea Sana Sisi WananChi Hasa Wabukoba na Mtwara.

Kwa kweli sisi wananchi tunaojitambua Tumehuzunishwa Sana kwa Slow slow kuudanganya Uuma!! Eti! Meko ni mpole na Msikivu ,kama hizo sifa ni za kweli basi Asingetukashifu sisi WanaNchi Wa BUKOBA Pindi tulipo Patwa na Majanga

Badala yake Meko anatuambia SERIKARI yake haikureta tetemeko.
Mara nyingi sifa za hivi utolewa kwa marehemu na hauwezi kubishana na mtoa wasifu wa marehemu.
 
Ukitaka kujua watu wana mapenzi gani na timu iwe Simba au yanga angalia uwingi wa uvaaji nguo za timu kwenye uwanja.

Tofauti ya mikutano ya CCM na CHADEMA ni kuwa CCM inahudhuriwa na wanachama wengi wakiwa wamevaa nguo za CCM, CHADEMA wanaohudhuria ni wasiojulikana ni chama gani.

Huoni zile tshirt za CHADEMA ushahidi kuwa wanaohudhuria ni wapita njia waliokuja tu kumshangaa Lissu.

Kwa mtizamo ukitizama picha zote za mikutano ya CHADEMA wavaa Tshirt za CHADEMA ni wa kumulika na tochi ni kama hawapo kabisa.

CCM mikutano yake unaona wazi kuwa waliofurika wengi ni wafia chama sio wapita njia.
 
Back
Top Bottom