Tofauti ya mwizi na tapeli

Mwizi anachukua mali zako pasipo ruhusa yako kwa kificho,na tapeli huchukua mali yako au kwa kumpa wewe mwenyewe kwa kutumia lugha tu kisha baadaye mhusika ndio hushtuka kuwa kapigwa
 
Tofauti ya mwizi na tapeli
Mwizi ina silabi mbili...yaani mwi-zi
Tapeli ina silabi tatu....yaani ta-pe-li
 
Wote ni wezi, ila Mmoja anatumia ushawishi mwengine hatumii ushawishi kukuibia.

KaziKweliKweli/JobTrueTrue
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…