Tofauti ya Nauli Air Tanzania Dar to Kenya

Kelela

Senior Member
Joined
Nov 7, 2020
Posts
191
Reaction score
308
Mwenye experience ya Kusafiri na Air Tanzania kutoka Dar es Salaam kwenda Nairobi Kenya, Naona utofauti wa Nauli kati ya TWIGA BASIC na TWIGA BUSINESS ni MKUBWA SANA. Naomba Kujua kuna nini katika TWIGA BUSINESS ambacho hakipatikani katika TWIGA BASIC?
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…