Desire Dizaya
JF-Expert Member
- Feb 16, 2015
- 6,476
- 11,659
Mimi natatizika sana na haya maneno au labda yote hapo sawa..bila MTU akitamka au nkilisoma katika ujumbe
Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja"
Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa!.
Ilitakiwa iwe "nipo njiani kwenye gari nakuja"
Kipi ni sahihi wadau?
Mfano utasikia "nipo njiani kwa gari nakuja"
Mimi kwa upande wangu hilo sio sawa!.
Ilitakiwa iwe "nipo njiani kwenye gari nakuja"
Kipi ni sahihi wadau?