Watu wasahaulifu sana, Brazil alikula saba sembuse hawa kula mbili?hawa qatar sijui wamepataje hii chance ya ku hosts mashindano makubwa kama haya.Timu yao ya taifa hata Ihefu ina afadhali kubwa mno, mpaka dk ya 30 washapigwa mbili bila
Nadhani hawa ndio vibonde kuliko timu zote katika mashindano haya
Hii mechi wasipo pigwa hata goli tano sidhani
... sure; japo nilizungumzia at global level.Cha kushangaza, Afrika waarabu ndio vinara kwenye soka....
... in short ni less than 0.5% ya binadamu walio hai leo ndio wenye kumbukumbu hiyo.Qatar ndio timu ya kwanza mwenyeji kufingwa kwenye mechi ya uzinduzi baada ya miaka 70
Brazil haikua ufunguzi jaribu kuelewaWatu wasahaulifu sana, Brazil alikula saba sembuse hawa kula mbili?
Mlungula mkubwa ulitumika.hawa qatar sijui wamepataje hii chance ya ku hosts mashindano makubwa kama haya.Timu yao ya taifa hata Ihefu ina afadhali kubwa mno, mpaka dk ya 30 washapigwa mbili bila
Nadhani hawa ndio vibonde kuliko timu zote katika mashindano haya
Hii mechi wasipo pigwa hata goli tano sidhani
Ishu sio ufunguzi ishu kupigwa goli WC ukiwa ardhi ya homeBrazil haikua ufunguzi jaribu kuelewa