Tofauti ya Simba SC na Yanga SC, Makocha pamoja na Mashabiki wao katika kupokea matokeo Uwanjani

Tofauti ya Simba SC na Yanga SC, Makocha pamoja na Mashabiki wao katika kupokea matokeo Uwanjani

Hii ndo tofauti kwa Makocha pamoja na mashabiki wa Simba SC na Yanga SC katika kupokea matokeo uwanjani.

••Simba SC ikifungwa mashabiki wa Simba, wanaona ni hali ya mchezo wanakubali na kwamba mchezo wa mpira una matokeo matatu hivyo wanasonga mbele kwenye mapambano huku wakijipa moyo kuwa mechi ijayo watafanya vizuri kuweza kushinda.

••Yanga SC ikifungwa mashabiki wao wanaanza kuijia juu TFF kuwa inawahujumu na wala hawana muda wa kuwapa moyo wachezaji wao.

••Simba SC ikifungwa, Kocha Patrick Aussems anatoa sababu za kiufundi kwanini wamepoteza mchezo huo na kuahidi kufanyia kazi makosa.

••Yanga SC ikifungwa Kocha wao Mwinyi Zahera anaijia juu TFF, Simba na Waamuzi kuwa wanamhujumu asiwe bingwa wa TPL na hana muda wa kueleza matatizo ya timu yake kiujumla.

••Simba SC hata ifungwe, mashabiki wao wanaenda uwanjani kuipa support klabu, kwa maana wanajua Soka linataka nini na wanajua mpira pia.

••Yanga SC ikifungwa hawaendi uwanjani wanajazana kwenye vijiwe vya Kahawa huku wakisema TFF wale ni Simba na kudanganyana kila siku.

••Simba SC ikishinda wanasema Kahonga, mara TFF, mara magoli ya Penati na kulia lia kila wakati yaani full Malalamiko.

••Yanga SC ikishinda wanafurahi mno huku wakisema hakuna kama Yanga ilhali walipewa ubingwa mara tatu lakini hata Robo Fainali Hawakufika.

Mashabiki wengi wa Yanga hawana uelewa na masuala ya mpira ni vile wapo tu na wao waonekane..Lipi ambalo litainusuru hii klabu ya Yanga na Kocha wao kwa sasa..!View attachment 1077422
Kiongozi lazima uwe honest.

Inakopita Yanga sasa hivi, ndiko ilikopitia Simba wakati Manji akiwika Yanga. Hilo unalijua kabisa.

Umesahau malalamiko ya Haji hadi kuweka Video clips kwa wandishi wa habari?
 
Simba na Yanga wote wanatia aibu, timu zina miaka zaidi ya 80 HAZINA UWANJA, eti uwanja wa TAIFA wanapokezana kila msimu kuwa uwanja wa nyumbani hizi timu HOVYO KABISA
Mbona Inter Milan na AC Milan hawana viwanja na ni za muda mrefu
 
Mtani hii yote ni kutaka kufukia lile kaburi la Kagera Sukari. Lol.

Siku zote Simba na Yanga mambo yao ni Kama watoto wa baba mmoja na mama mmoja yaani huwaga hakuna tofauti.

Mfano hai ni mwaka ambao yanga alikuwa na viporo nyie nyie Mikia mlilalama weee ila kwa kuwa sasa kwa mnavyo nyie mnaona ni sawa kabisaa.
 
Hii yote ni kutaka kufukia lile kaburi la Kagera Sukari. Lol.

Siku zote Simba na Yanga mambo yao ni Kama watoto wa baba mmoja na mama mmoja kama Pipa na Mfuniko.

Mfano hai ni mwaka ambao yanga alikuwa na viporo nyie nyie Mikia mlilalama weee ila kwa kuwa sasa kwa mnavyo nyie mnaona ni sawa kabisaa.
Kamanda anasahau haraka. Wakati tukitesa na Manji, wao ulalamishi hadi FIFA. Yanga tuna uwezo wa kupokea matokeo Kuliko wao.
 
Nimekuita kwa kusudi hapa ubaoni[emoji23][emoji23]

Kwahivyo mtani kwa kuwa mwaka jana nililalamika je kuna haja ya wewe kuniiga?
Mtani hii yote ni kutaka kufukia lile kaburi la Kagera Sukari. Lol.

Siku zote Simba na Yanga mambo yao ni Kama watoto wa baba mmoja na mama mmoja yaani huwaga hakuna tofauti.

Mfano hai ni mwaka ambao yanga alikuwa na viporo nyie nyie Mikia mlilalama weee ila kwa kuwa sasa kwa mnavyo nyie mnaona ni sawa kabisaa.
 
Ni kweli wanatufunga hata mbele ya rais. Lakini hatuwatuhumu TFF

Kufungwa Yanga na Mtibwa TFF amehusika veep? Swali hilo Mtani
Kwa hii kauli Mtani ama kweli Kagera sio watu wazuri.
 
Nimekuita kwa kusudi hapa ubaoni[emoji23][emoji23]

Kwahivyo mtani kwa kuwa mwaka jana nililalamika je kuna haja ya wewe kuniiga?
😀😀 Siku zote tuna ugonjwa mmoja Mtani hivyo usishangae. Huwa hauponi bali unatulia tu.
 
Ni kweli wanatufunga hata mbele ya rais. Lakini hatuwatuhumu TFF

Kufungwa Yanga na Mtibwa TFF amehusika veep? Swali hilo Mtani
Najua utajifanya hujui nini kilitokea Mtani.

Salama lakini huko?
 
Kiongozi lazima uwe honest.

Inakopita Yanga sasa hivi, ndiko ilikopitia Simba wakati Manji akiwika Yanga. Hilo unalijua kabisa.

Umesahau malalamiko ya Haji hadi kuweka Video clips kwa wandishi wa habari?
Ni kweli! Upepo umebadili mwelekeo tu
 
Hii ndo tofauti kwa Makocha pamoja na mashabiki wa Simba SC na Yanga SC katika kupokea matokeo uwanjani.

••Simba SC ikifungwa mashabiki wa Simba, wanaona ni hali ya mchezo wanakubali na kwamba mchezo wa mpira una matokeo matatu hivyo wanasonga mbele kwenye mapambano huku wakijipa moyo kuwa mechi ijayo watafanya vizuri kuweza kushinda.

••Yanga SC ikifungwa mashabiki wao wanaanza kuijia juu TFF kuwa inawahujumu na wala hawana muda wa kuwapa moyo wachezaji wao.

••Simba SC ikifungwa, Kocha Patrick Aussems anatoa sababu za kiufundi kwanini wamepoteza mchezo huo na kuahidi kufanyia kazi makosa.

••Yanga SC ikifungwa Kocha wao Mwinyi Zahera anaijia juu TFF, Simba na Waamuzi kuwa wanamhujumu asiwe bingwa wa TPL na hana muda wa kueleza matatizo ya timu yake kiujumla.

••Simba SC hata ifungwe, mashabiki wao wanaenda uwanjani kuipa support klabu, kwa maana wanajua Soka linataka nini na wanajua mpira pia.

••Yanga SC ikifungwa hawaendi uwanjani wanajazana kwenye vijiwe vya Kahawa huku wakisema TFF wale ni Simba na kudanganyana kila siku.

••Simba SC ikishinda wanasema Kahonga, mara TFF, mara magoli ya Penati na kulia lia kila wakati yaani full Malalamiko.

••Yanga SC ikishinda wanafurahi mno huku wakisema hakuna kama Yanga ilhali walipewa ubingwa mara tatu lakini hata Robo Fainali Hawakufika.

Mashabiki wengi wa Yanga hawana uelewa na masuala ya mpira ni vile wapo tu na wao waonekane..Lipi ambalo litainusuru hii klabu ya Yanga na Kocha wao kwa sasa..!View attachment 1077422


Tathmini yako hii tutaithibitisha siku Simba akifungwa na Alliance, Biashara, Mbeya City, Prisons na mechi ya marudiano na Azam
 
Mimi ni yanga damu lakini hakuna kocha zwazwa kama wa yanga.. Nannajua club inamvumila kwasababu ya ukata tu..!!

Kama wewe ni Yanga kweli utakuwa upande wa yule mzee A.......au inawezekana wewe ni 'komandoo' au 'muuza jezi' za Yanga...
 
Ni kweli wanatufunga hata mbele ya rais. Lakini hatuwatuhumu TFF

Kufungwa Yanga na Mtibwa TFF amehusika veep? Swali hilo Mtani
Hivi wale waliowatuhumu tff mpaka wakaenda Fifa ni kina nani vile?
 
Back
Top Bottom