Rogojin The Idiot
JF-Expert Member
- Jul 25, 2017
- 2,969
- 3,392
Suruali Ndefu vs Suruali Fupi
Kama ni hivyo basi Shia wapo sawa,hata mimi nafikiria kwenda huko Shia.Sunni hawana hoja tupa kule.Walianzia sunni baada ya kuuawa kwa mkwe wa muhamad. Hata hivyo, sunni walianzia kwa ukatoliki uliowapatia biblia waliyokopi na kuandika kurani
Hussein ni mtoto wa aliy,hakupewa Dola yote Bali palikua na Dola ya aliy na Muawiyah,mtoto wa Muawiyah,yazid alikua kiongozi baadae kwenye Dola iliyokua ya babaake,shia wakimtaja vibaya Sana yazid kwamba alikua mzinzi na mleviIkawaje na Hussein ?
Ikawaje waislamu wakampa dola yote baada ya Alliy
Answar Sunnah wapo kwenye dhahebu linalojulikana Kama sunni wal jamaa...kwa hiyo answar Sunna ni sunniTofautisha kati ya dhebu la Sunni na Ansaar Sunni mkuu.
Ni vitu viwili tofauti
Ndo uwezo wa Akili yako ulipofikia sikulaumuUaneni
Uaneni tu.... Ni vizuri mkatandikana wenyewe kwa wenyewe, tena mtandikane haswa.Ndo uwezo wa Akili yako ulipofikia sikulaumu
Shia kama dhehebu lilianza kipindi cha Himaya ya Abbasid,,Shia walianzia wapi?
Hii story niliifuatilia, ilinitoa machozi, ngoja ntaiweka viziri kwenye uzi huu huu,Uelewa wako umeegemea upande wa shia ambao ni watu wa aliy,lakini pia unakoroga Sana mambo,Abu bakri Siddiqui alikua mtu wa karibu Sana na mtume na baba wa Aisha mke wa mtume,Aisha aliolewa akiwa bikra,ndiyo jina la utani Abu bakri(baba wa bikira) lilipokuja,Abu bakri ndiye aliyekuwa na mtume pangoni wakiwindwa wauawe,Abu bakri,ummar,uthman hawawezi kuwa waovu kiasi Cha kwenda kinyume na utashi wa mtume,ukweli ni kwamba mtume hakuruthisha madaraka/ukhalifa,siyo utaratibu wa uislam,zogo lilizuka baada ya kuuawa uthman,mpanga mipango alikua myahudi wa kiyemeni alijipenyeza akawa mwanazuoni wa kiislam aliyeaminika abdallah bin sabai,alitengeneza makundi mawili moja upande wa Muawiyah jingine Ali kuhakikisha waislam hawapatani kati ya kuchagua khalifa kwanza na kuchunguza wauaji no akina nani,Hilo lilipelekea Muawiya na Ali kupigana Vita
Nilivyokudokeza ndivyo hivyo,Ila kila upande una simulizi zake Kama kwenye hija ya kuaga ya mtume,Ali na Muawiyah walipigana,waislam wakauwana kiasi mmoja wao katikati ya mapigano baada ya kuona watu wanakufa Sana akachomeka Qur'an juu ya mkuki ndipo watu wakaacha kupigana na Ali na Muawiyah kila mmoja kuwa na ukhalifa wake..halafu watu wanakwambia mtu kabashuriwa Pepo akiwa duniani..Wana la kujibu,maana wao ndiyo waliouawa umma wa waislam mpaka leoHii story niliifuatilia, ilinitoa machozi, ngoja ntaiweka viziri kwenye uzi huu huu,
Ujue huyu muawia alikua gavana wa damusca, tu, ila alipouawa Ali,, akaja kushika madaraka,, lakini dini leo haimuhesabu yeye kama khalifa,, baya zaidi alipotaka kufa, akamrithisha mtoti wake, Yazid,, huyu ndo akaua Hassan na Husein wajukuu wa mtume kwani aliona wanatishia cheo chake, japo wale vijana hata ukhalifa hawakuutaka,Uelewa wako umeegemea upande wa shia ambao ni watu wa aliy,lakini pia unakoroga Sana mambo,Abu bakri Siddiqui alikua mtu wa karibu Sana na mtume na baba wa Aisha mke wa mtume,Aisha aliolewa akiwa bikra,ndiyo jina la utani Abu bakri(baba wa bikira) lilipokuja,Abu bakri ndiye aliyekuwa na mtume pangoni wakiwindwa wauawe,Abu bakri,ummar,uthman hawawezi kuwa waovu kiasi Cha kwenda kinyume na utashi wa mtume,ukweli ni kwamba mtume hakuruthisha madaraka/ukhalifa,siyo utaratibu wa uislam,zogo lilizuka baada ya kuuawa uthman,mpanga mipango alikua myahudi wa kiyemeni alijipenyeza akawa mwanazuoni wa kiislam aliyeaminika abdallah bin sabai,alitengeneza makundi mawili moja upande wa Muawiyah jingine Ali kuhakikisha waislam hawapatani kati ya kuchagua khalifa kwanza na kuchunguza wauaji no akina nani,Hilo lilipelekea Muawiya na Ali kupigana Vita
Ndiyo maana nimekuambia umeegemea upande wa maelezo ya shia,ambao hawawakubaki Abu bakri,ummar,uthman na Muawiya Bali Ali tu...huyo mtoto wa Ali Hassan alomtambua Muawiya or so,yaani upande ule mwingine kuwa khalifa,akampa baia yaani recognition,hakukaa Sana akauawa na watu wa upande wake na Hussein akashika hatamu,Hussein akaebdeleza ugomvi na ndiye anayetukuzwa Sana na shia,busara ilikua baiana ya Ali na Muawiyah kukubali la mwenzake,Muawiya akitaka watafutwe wauaji wa uthman,Ali akitaka achaguliww khalifa kwanza,Muawiya hakuwa na shida na ukhalifaUjue huyu muawia alikua gavana wa damusca, tu, ila alipouawa Ali,, akaja kushika madaraka,, lakini dini leo haimuhesabu yeye kama khalifa,, baya zaidi alipotaka kufa, akamrithisha mtoti wake, Yazid,, huyu ndo akaua Hassan na Husein wajukuu wa mtume kwani aliona wanatishia cheo chake, japo wale vijana hata ukhalifa hawakuutaka,
Huyu yazid, alikuwa mlevi, wanawake, etc eti nae akawa khalifa, no wonder dini iligoma kumuhesabu kama khalifa
Mie nilivyoekewa, hii story inahusu, struggle for power kabla hata ya uzao wa mtume,Ndiyo maana nimekuambia umeegemea upande wa maelezo ya shia,ambao hawawakubaki Abu bakri,ummar,uthman na Muawiya Bali Ali tu...huyo mtoto wa Ali Hassan alomtambua Muawiya or so,yaani upande ule mwingine kuwa khalifa,akampa baia yaani recognition,hakukaa Sana akauawa na watu wa upande wake na Hussein akashika hatamu,Hussein akaebdeleza ugomvi na ndiye anayetukuzwa Sana na shia,busara ilikua baiana ya Ali na Muawiyah kukubali la mwenzake,Muawiya akitaka watafutwe wauaji wa uthman,Ali akitaka achaguliww khalifa kwanza,Muawiya hakuwa na shida na ukhalifa
Context si ya kweli,hapo unamaanisha hata mtume alitunga dini ili apate power,shia wanadai akina Abu sufiyani walisilimu ili wasalimike...hii ni kuandaa mazingira ya kuwashutumu akina Muawiya,watu ambao walikua pamoja na mtume wakipiga a Vita dhidi ya Hilo tabaka tawalaMie nilivyoekewa, hii story inahusu, struggle for power kabla hata ya uzao wa mtume,
Hawa muawia ndio walikuwa machifu pale maka,
Baba yake mtume, Abdallah hakuwa na cheo chochote, kwanza baba yake alitaka kumtoa kafala kama abraham, alivyotaka kumtoa kafara Ismail,
Babake mtume alifarika mapema, tu, na pia mamake mtume,,
Mohamed akabaki yatima na hana mtu wa kumlea, akatoa anko wake, ambae ndio babake Ali,, akamchukua mtume na kumlea,, huyu anko wake alikuea ni msimamizi wa al kaaba, upande wa watu waliokuwa wakija kuhiji hapo, hakua na mali, lakini alimchukua mtume na kuishi nae, hivyo practically mtume na Ali wanekuwa pamoja under one roof,
Wakati mtume anaanza utume,, wale ukoo wa muaawia kina abu sufian, ndo walikuwa viongozi hapo maka, waliona mtume kaja kuwavurugia mambo, ndo kisa cha kuanza kumpiga vita, waliona wao ukoo wa muawia, wanaondolea madaraka na wana wa Hashimu,
Na hata mtume alupowashinda, chuki zilibaki, pamoja na mtume kuwapa vyeo, alupokufa mtume tu, ndo wakaamuwa sasa iwe isiwe wanashika madaraka,,
Hiyo ndo ilikua genesis ya mgogoro wote,.
Muawia hawakuwa tayari kuona mtu wa ukoo wa hashim, twna mtoto yatima eti awapandie juu
We jamaa unakaa kwa Gadie, ni kituo flani unaacha barabara kuu unaingia ndani, unavuka vituo kadhaa, ndipo ukutane na Kwa Gadie. Wasalimie hapoAcha udini mkuu wewe tafuta tofauta za wasabato vs wakristo wengine
Alimkhini?SHIA wanaamini sehemu kubwa ya Sahaba waliritadi baada ya Mtume Rehema na amani ziwe juu yake
Wanaamini baadhi ya Khulafai Rashdun waliretadi....
BALI wanaamini the HOLY Qur'an [the book read by millions of muslims in the world] is incomplete....
Wanaamini mke wa Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake alimkhini Mtume [Allah atukinge na DHULMA hii]
Kwa upande wa SUNNI ni kinyume chake....
Utaahira WA kiwango cha sgrKwanza muamini Mungu mmoja tu ambaye hakuzaa wala kuzaliwa ,wala hana mwana wala anayefanana naye,na amini kiwa muhmaad S.a.w ni mtume wake pamoja na mitume kabla yake issa(Yesu),musa,ibrahm mpka adam kuwa hawa ni mitume wa Mungu wametumwa kuufikisha ujembe mmoja wa kuabudiwa mungu mmoja tu na hawajawahi tofautiana.
then tutakupa utafauti murua wa sunn na shea
karibu sana
Haya bweha WA tarangileYesu na mm hatuna utafauti wowote wa kibinaadam
Alikuwa anakula na kwenda haja kama mm
Alikuwa anahisi maumivu na hasira kama binaadam wengine
Yeye si lolote wala si chochote zaid ya unabii kwa watu wa israil tu na si Mungu wa mwana wa mungu....
Kuliko Mecca na Madina ?Halafu Shia wanauthamin sana mji wao Najaf ndio mji mtakatifu wa kiislam. Nawanamthamini sana Ima wao Ali (our beloved Imam).
NdioKuliko Mecca na Madina ?