Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

Tofauti ya Sunni na Sh’ia ni ipi hasa?

Kukataa hadithi kuna karibiana zaidi na Kukataa Uislamu na ibada zake nyingi ,niambie wapi kama sio hadithi wametoa maelezo maneno yanatamkwa kwenye swala kuwa ukiwa kwenye Tahyatu useme hivi nk ?
Hawa ndo wale wanofungua mpaka uingie usiku kabisaa ni wajinga mno hawa watu
 
TOFAUTI IPO:

Kwa kifupi ulisikia SUNNI maana yake wale WAISLAM wanaojinasibisha na kuihuisha Sunnah yaani MAFUNDISHO YA DINI KAMA ALIVYOYAISHI MTUME WA ALLAH REHEMA NA AMANI ZIWE JUU YAKE....


SHIA ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa then baadaye kundi hili likawa na misingi yake ya THEOLOGIA na kwa wasomi wengi wa KIISLAM [JAMUHURIL ULAMAAH] wanaliona kundi hili kuwa sii WAISLAM bali ni kama CULT kwa sababu mafundisho yao mengi yapo kinyume na mafundisho ya Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake.
Unapotosha..
 
SHIA wanaamini sehemu kubwa ya Sahaba waliritadi baada ya Mtume Rehema na amani ziwe juu yake

Wanaamini baadhi ya Khulafai Rashdun waliretadi....

BALI wanaamini the HOLY Qur'an [the book read by millions of muslims in the world] is incomplete....

Wanaamini mke wa Mtume wa Allah Rehema na amani ziwe juu yake alimkhini Mtume [Allah atukinge na DHULMA hii]

Kwa upande wa SUNNI ni kinyume chake....
Unatoa maelezo mazuri Ila hiyo avatar yako ni kichefuchefu
 
Shida ilianzia kwenye kifo cha bwana mtume Muhammad (s.a.w) sunni wanakubaliana na wale viongozi waliofatia baada ya kifo cha mtume, kuanzia Abubakar, umar, uthman, kisha ali.. Sasa shia wao wanaona kulifanyanyika uhuni ali alinyimwa uongozi, hivyo wao ni wafuasi wa ali.. Hao wengine wanaona ni wazinguaji(tutumie lugha hii mbovu)
Wewe ndo umetoa muelekeo mzuri na jibu la swali.
 
Acha ujinga ww uko ulipo wapotoshwa na tutakupigeni Raddi mpk umma wote wajue kua Uislamu ni Qur-an na Sunnah
Mbona mikwara mingi sheikh? Mueleze vizuri bila kutumia maneno makali.
 
Jamuhurul ULAMAAH hujui maana yake mpaka unaniuliza wengi kutoka wapi?

Shia ni kama Mormonism in Christian faith....

Ni Cult anyway;

SHIA ilianza kama VUGUVUGU la kisiasa wakati wa UKHALIFA WA ALIY ALLAH AMRIDHIE baada ya kifo cha HUSSEIN several years later ikaanzishwa THEOLOGIA ya SHIA na kutokana na resentments walizokuwa nazo wakawakufutisha baadhi ya maswahaba wakike na kiume....

Shia nao wana makundi kadhaa kama sikosei Luna makundi 12 ya itikadi za KISHIA wakiwafuata maimamu wao 12....

Ni somo refu
Na ni vuguvugu la kisiasa lililoanza baada ya kuangushwa kwa dola ya kimajusi(zolastrian) ikiitwa safawi,(safavid empire) hii dola ilikuwa na nguvu Sana katika dola kubwa zilizowahi kutawala ulimwengu huu ikiwa pamoja na dola ya kirumi(Byzantine Empire,) ikijulikana pia kwa jina la himaya ya kifursi(Persian Empire) kwa pamoja ndizo zilikuwa dola kubwa kipindi hicho
Baada ya Dola ya kiislam ya wakati huo chini ya Khalifa Abubakar Sidiq(Radhi'Allahu Anhu) wakati huo kuanza kutanua dola katika maeneo ya uajemi (extension to the new lands) ilibidi kwa nguvu ya uislam kipindi hicho ianze kudhoofika Kisha Umar na Uthmaan bin Affan(Radhi'Allahu anhuma) kuimaliza na kuifuta kabisa na ndio imekuwa sababu ya kuwalaani na kuwatusi kwa kule tu kuiangusha dola yao iliyokuwa kubwa kipindi hicho(Savanid/Persian Empire)

Hivyo ni kweli kuwa Shia ni vuguvugu la kisiasa la wasafawi(Savanid empire) kurudisha utawala wao uliowahi kuwa na nguvu duniani lakini kwa njia ya hila (Taqiyah) ya kujipachika uislam lakini lengo lao ni kurudisha himaya yao ya kisafawi na ndio utaona Iran ya Sasa ya kina Ayatollah inavyojiimarisha kwa kuingia Iraq,Jaziratul Arab na ulimwengu mwingine wa kiislam ili kuongeza ushawishi wake kwa ndoto ya kurudisha utawala wao wa kifursi ulioangushwa na dola ya kiislam.
 
Kila kundi Lina hadithi zake za mtume,ndiyo maana wengine hatutaki hadithi sababu ni uzushi wa wahuni kuwatoa waislam kwenye Qur'an, Bilal bin rabah alikua mweusi na miongoni mwa wa mwanzo kusilimu,lakini hakuna Hadith toka kwa Bilal bin rabah...
This point make sense Hadith mimi nitaunganisha na aya ila Kama haina aya yake hio ni kanjanja
 
Agreed.

Kabla ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki, alishawaambia swahaba zake juu ya mtu atakayekua kiongozi baada yake ni Ali(AS).

Lakini mambo yalibadilika baada ya Mtume Muhammad (SAW) kufariki.

Baadhi ya maswahaba walianza mtafaruku mzito sana na tamaa ya kugombania madaraka ilihali walishaachiwa wusia juu ya Ali(AS) ndiye atakuwa kiongozi wa Umma mzima, Lakini walikaidi tena kabla hata ya Mtume Muhammad (SAW) hajazikwa.

“Mimi ni nyumba ya Elimu na Ali(AS) ndiyo mlango wake”- Mtume Muhammad (SAW)

Mtume Muhammad (SAW) aliwahusia maswahaba na watu wengine, wawafuate watu wa nyumba yake(Ahlul Bayt)
Leta aya
 
H
kataa hadithi kuna karibiana zaidi na Kukataa Uislamu na ibada zake nyingi ,niambie wapi kama sio hadithi wametoa maelezo maneno yanatamkwa kwenye swala kuwa ukiwa kwenye Tahyatu useme hivi nk ?
Hadith ni wahyi gani!?..khalifa ummar alizipiga marufuku,mtu aliyeishi na mtume saw alizipiga marufuku,mtume hakuamuru ziandikwe,Hadith zimekusanywa miaka takriban 200 baadae na waajemi bukhari na Muslim,swala siyo lazima Tahyatu Kama Qur'an haielekezi hivyo
 
Upumbavu wa SGR huu yni hutaki kujua mtume wako katoka wapi ety sio Uislamu pumbavu kabisaaa embu nioneshe jinsi ya kuhiji kwa Qur-an tu

Na lau ukipta jinsi ya kuhiji ndani ya Qur-an pekee mm nakua mfuasi wenu sasa ivi

Ety unakataa maisha ya mtume sasa utajuaje mafundisho yake

Ah mda mwingine nyie watu m naona akili zenu zimefyonzwa na hao wajinga wenzenu

Hadithi sahihi zipo
Hadithi hassan zipo
Hadithi za kutunga zipo na zinajulikana
Mafundisho ya mtume ni Qur'an,mwanzo mmetaka nioneshe sala,Sasa mnataka Hajj...maana mkisema hata namna ya kutia udhu hakuna kwenye Qur'an,historia ya mtume ni kazaliwa Makkah kafia Madina,ni mwarabu,alimuoa bi Khadija,alifariki 633ad,haya unataka nini kwenye historia yake,kuoa,kuzaa!?..havipo kwenye Qur'an!?
 
Umejitahidi kwa uwezo wako kijana

Katika udhu kuna vitenguzi vyake na mipaka ya viungo vya udhu na fadhila za udhu naona hizi hujanionesha kwenye Qur-an

Acha ujinga ww uko ulipo wapotoshwa na tutakupigeni Raddi mpk umma wote wajue kua Uislamu ni Qur-an na Sunnah

Ikiwa unakataa hadithi utatwambia nn kuhusu wosia wa mtume kua tushikamane na Sunnah zake na Sunna za makhalifa wake waongofu
Mtume hawezi toa wosia nje ya Qur'an,huo wosia uliotoa kila mtu ana wake,wengine wanasema wanasema Sunna na ahlul bayt,ama vitenguzi vya udhu vipo kwenye Qur'an Kama kuingiliana kimwili na wanawake na kwenda chooni,tatizo hamsomi
 
Hapo haimaanishi kila neno,ndiyo maana maswahaba walikua wakimuuliza huu ni wahyi au maoni yako,akisema 'nina njaa naombeni tende wake zangu' huo siyo wahyi
Swahaba gani alimuuliza Mtume S.A.W huu ni wahyi au maoni yako., Lete hem khadithi japo ya mstari mmoja.,, maana Quran ndio imeshuka hiyo kueleza kwa kila alichokifanya Mtume S.A.W
Ama kwa upande wa Qur'an aliacha imeandikwa,na haijalishi story za kiwaki kwamba ilikua haijakusanywa
Aliacha imeandikwa kwenye kitu gani fungua hemu vizuri., uislamu umekuja na dalili na kila kitu kipo wazi
QUR'AN 25:5
Na wakasema,hivi ni visa vya watu wa kale alivyoviandikisha,anavyosomewa asubuhi na jioni
 
Swahaba gani alimuuliza Mtume S.A.W huu ni wahyi au maoni yako., Lete hem khadithi japo ya mstari mmoja.,,

Aliacha imeandikwa kwenye kitu gani fungua hemu vizuri., uislamu umekuja na dalili na kila kitu kipo wazi
Palikua na makaratasi,asikwambie mjinga yeyote kwamba Qur'an iliandikwa kwenye mifupa,mawe sijui vitu gani
 
Palikua na makaratasi,asikwambie mjinga yeyote kwamba Qur'an iliandikwa kwenye mifupa,mawe sijui vitu gani
Quran kukusanywa kama masahafu ulivyo (leo) ukitoa makaratasi na vipande vya ngozi ambavyo vlikuwa mbali mbali ambapo Mtume S.A.W akimuamrisha muandishi aandike
 
Quran kukusanywa kama masahafu ulivyo (leo) ukitoa makaratasi na vipande vya ngozi ambavyo vlikuwa mbali mbali ambapo Mtume S.A.W akimuamrisha muandishi aandike
Haya unasema wewe,Qur'an 25:5 na Aya zingine hazisemi hivyo,Aya zinawapa changamoto(challenge) waliokua hawaamini Qur'an imetoka kwa Allah sw basi walete walau 'surah' moja waliyotunga wao ikiwa mtume anazua,kwa hiyo tangu mtume saw palikua na sura za Qur'an tofauti na upuuzi tunaambiwa ilikusanywa katika mfumo huu baada ya mtume kuondoka
 
Back
Top Bottom