Tofauti ya wahuni na wazalendo/wanamapinduzi kuongoza wizara

Tofauti ya wahuni na wazalendo/wanamapinduzi kuongoza wizara

kmbwembwe

JF-Expert Member
Joined
Aug 16, 2012
Posts
10,892
Reaction score
7,780
Utasikia 'rea kuna utapeli mwingi ukome mara moja. Kazi hazikamiliki vifaa vinaibiwa. Kampuni hizo zisipewe tena kazi' 😂😂. Usanii mtupu akisema hivyo ndio imetoka.
Wananchi wanahitaji mawaziri wenye uchungu wanachukua hatua. Kwanza kutolea maelezo kinagaubanga mapungufu na hatua za papo kwa papo. Waziri gani maneno tu na ahadi hewa. Hawezi tumbua mtu maana mwenyewe ni mpiga dili.
 
Si ndio wenye nchi.

Mliambiwa wametufikisha pabaya mkafikiri ni porojo. 😁

Haya sasa ona utendaji kazi wao.

#kataawahuni
 
Tumepata rais bora tangu tupate Uhuru.
Utakuwa sukumagang wewe, mawaziri mbona smart Sana mfano January.
 
Si ndio wenye nchi.

Mliambiwa wametufikisha papaya mkafikiri ni porojo. 😁

Haya sasa ona utendaji kazi wao.

#kataawahuni
Jiji lupo safi bila kutumia virungu wala press za masaa 7 .
Usafi dar ulimshinda migulu baja makonda
Endeleeni kukataa wahuni mkimwacha musiba akitamba.
 
Waziri Kama kasimu majaliwa hafai kuwa hata waziri mkuu kwa sababu ya uongo wake wa mchana kweupe
 
ccm wote wahuni, wanachotofautiana ni approach ya huo uhuni wenyewe.
 
Tumepata rais bora tangu tupate Uhuru.
Utakuwa sukumagang wewe, mawaziri mbona smart Sana mfano January.
Smart masharobaro😂. Au una maana kwa kupiga dili. Ungeeleza substance ya usmart. Nyie ndio upigaji na uzembe kwenu ndio usmart.
Mumebakia kumwita kila mtu sukumagang utadhani kasuku wa kufugwa.
Mlaaniwe wapinga maendeleo wote.
 
Smart masharobaro😂. Au una maana kwa kupiga dili. Ungeeleza substance ya usmart. Nyie ndio upigaji na uzembe kwenu ndio usmart.
Mumebakia kumwita kila mtu sukumagang utadhani kasuku wa kufugwa.
Mlaaniwe wapinga maendeleo wote.
Huoni anayofanya Hangaya,chanjo bure, mawaziri vichwa ngumu Kama Cha Mwendazake piga chini,kaweka mawaziri hata akipozi kwenye gazeti anaonekana kweli waziri.

Kwani hujui watu wa pwani hawataki Mambo magumu?
Au hukuelewa waliposema mzigo mzito mpe mnyamwezi?

Hii ni enzi ya kula Bata na kupumua kidogo,usilamishe Mambo magumu magumu utafikiri tuko vitani?
 
Back
Top Bottom