Jiji lupo safi bila kutumia virungu wala press za masaa 7 .Si ndio wenye nchi.
Mliambiwa wametufikisha papaya mkafikiri ni porojo. ๐
Haya sasa ona utendaji kazi wao.
#kataawahuni
Wewe na yeye wote majizi wakubwa na wabinafsi mnaojari matumbo yenu na mama zenuTumepata rais bora tangu tupate Uhuru.
Utakuwa sukumagang wewe, mawaziri mbona smart Sana mfano January.
Smart masharobaro๐. Au una maana kwa kupiga dili. Ungeeleza substance ya usmart. Nyie ndio upigaji na uzembe kwenu ndio usmart.Tumepata rais bora tangu tupate Uhuru.
Utakuwa sukumagang wewe, mawaziri mbona smart Sana mfano January.
Huoni anayofanya Hangaya,chanjo bure, mawaziri vichwa ngumu Kama Cha Mwendazake piga chini,kaweka mawaziri hata akipozi kwenye gazeti anaonekana kweli waziri.Smart masharobaro๐. Au una maana kwa kupiga dili. Ungeeleza substance ya usmart. Nyie ndio upigaji na uzembe kwenu ndio usmart.
Mumebakia kumwita kila mtu sukumagang utadhani kasuku wa kufugwa.
Mlaaniwe wapinga maendeleo wote.
Hapana Mimi simo Labda wewe.Wewe na yeye wote majizi wakubwa na wabinafsi mnaojari matumbo yenu na mama zenu