Davido anatoka familia ya kitajiri na pia ni zao la upinzani. Kama sio baba yake basi ba mkubwa wake ana cheo cha maana tu upinzani nchini humo. Hivyo ana backup ya maana.
Bongo hakuna msanii anayetoka familia ya kitajiri yenye chembe chembe za siasa so hawana backup ya maana. Sugu aliimba wee mwisho wa siku kaenda k
Davido anatoka familia ya kitajiri na pia ni zao la upinzani. Kama sio baba yake basi ba mkubwa wake ana cheo cha maana tu upinzani nchini humo. Hivyo ana backup ya maana.
Bongo hakuna msanii anayetoka familia ya kitajiri yenye chembe chembe za siasa so hawana backup ya maana. Sugu aliimba wee mwisho wa siku kaenda kupatana na Ruge.
Fuatilia haya maandamano ya Nigeria