Follow along with the video below to see how to install our site as a web app on your home screen.
Note: This feature may not be available in some browsers.
Hahaha, umaskini wako wa kutoweza kununua wimbo usitake kujipa moyo kwa kudhani kila mmoja ana umaskini wa kiwango chako! Na hiyo niliyo-underline ndiyo inaonesha size ya akili yako. Mkuu unatumia ubongo wango kwa kiwango cha chini sana, kumradhi kama nimekukwaza lakini tunasaidiana tu, hope hutomind!
Alikuwa anacheza ile ya dar mpaka MoroHahaha hapo JPM naye alikuwa anacheza ngwasuma!? au UNO?!
Kwa nini hutaki kuamini kuwa kuna jasho la mwananchi pia, na vile msanii kuwa na influence kubwa naye angetakiwa kujitolea kwenye hili jasho la mwananchi? Au "jasho" ni one-way traffic?povu,stress,kuhisi unadharauliwa.
hata hivyo kukwambia hununui sikumaanisha wewe ni maskini kwa kutolipa 300,nilimwanisha tabia tu za kutopenda kujitolea kwenye jasho la wasanii.
Kwa nini hutaki kuamini kuwa kuna jasho la mwananchi pia, na vile msanii kuwa na influence kubwa naye angetakiwa kujitolea kwenye hili jasho la mwananchi? Au "jasho" ni one-way traffic?
Harmonize (darasabla 3B vs Davido University graduate) umeiona tofauti.Baba Yake Davido Ni Profesa usiniulize Baba wa Chib Ni Nani? Ana elimu gani?..Nikkiwapili (ana Masters ya DS ila utadhani ndo kaishia darasa la kwanza) anapelekeshwa na yule mchaga kuandika mafumbo ya taarabu insta.Nyota wa muziki nchini Nigeria, David Adeleke (Davido) akiongoza sehemu ya maandamano ya vijana nchini humo kutaka kufutwa kwa Kikosi Maalumu cha Polisi cha Kupambana na Uhalifu (SARS), kutokana na ukiukwaji mkubwa wa haki za binadamu hasa dhidi ya vijana katika utendaji wake.
[emoji23][emoji23][emoji23][emoji23][emoji23]Harmonize (darasanla 3B vs Davido University graduate) umeiona today...Nikkiwapili (ana Masters ya DS ila utadhani ndo kaishia darasa la kwanza) anapelekeshwa na yule mchaga balaa