Tofauti ya wasanii wa Bongo na wa Nigeria


povu,stress,kuhisi unadharauliwa.

hata hivyo kukwambia hununui sikumaanisha wewe ni maskini kwa kutolipa 300,nilimwanisha tabia tu za kutopenda kujitolea kwenye jasho la wasanii.
 
povu,stress,kuhisi unadharauliwa.

hata hivyo kukwambia hununui sikumaanisha wewe ni maskini kwa kutolipa 300,nilimwanisha tabia tu za kutopenda kujitolea kwenye jasho la wasanii.
Kwa nini hutaki kuamini kuwa kuna jasho la mwananchi pia, na vile msanii kuwa na influence kubwa naye angetakiwa kujitolea kwenye hili jasho la mwananchi? Au "jasho" ni one-way traffic?
 
Kuna msanii mmoja wa kike Leo ameomba apigiwe Kura na watanzania ili apate Grammy awards huku akiwa amesahau jinsi alivyokuwa anaponda wapinzani na matokeo yake anaambulia aibu ya mwaka...
Huko Twitter kama anasoma zile comments za wadau nadhani anajuta kwann alikuwa anapanda jukwaani kuwatukana wapinzani
 
Kwa nini hutaki kuamini kuwa kuna jasho la mwananchi pia, na vile msanii kuwa na influence kubwa naye angetakiwa kujitolea kwenye hili jasho la mwananchi? Au "jasho" ni one-way traffic?

mwananchi anaimba na kuwaburudisha nyinyi,kudai haki ni uamuzi wa msanii husika.
 
Harmonize (darasabla 3B vs Davido University graduate) umeiona tofauti.Baba Yake Davido Ni Profesa usiniulize Baba wa Chib Ni Nani? Ana elimu gani?..Nikkiwapili (ana Masters ya DS ila utadhani ndo kaishia darasa la kwanza) anapelekeshwa na yule mchaga kuandika mafumbo ya taarabu insta.
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…